Orijino komedy wameishiwa

Hivi hakunaga jukwaa la Comedy? Kama hakuna hapa ni mahala pake kwakuwa inacomedia siasa za bongo.

siasa za bongo ndo komed yenyewe so hamna haja ya kuweka majukwaa mawili
 
Wamefuliaaaaaaaaaaaaaaaaaa,Piga Chiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Angalien haka kapicha natumia simu nimeshindwa kuauplod vyema
Siamin kama walikuwa hvi na mbwembwe zote za kukashifu wenzao..
 

Attachments

  • Mpoki na joti.jpg
    59.3 KB · Views: 58
kila chenye mwanzo kina mwisho.
 
hawajaishiwa sema wa2 cku hizi wamewachoka kwasababu ya wao kuzunguka majukwaani
 
jamaan walikua hawajui dira ya maisha ikoje wametumiwa na ccm wakabwagwa pwaaaaaaaa tupiliwa mbali wasubir waitwe tena 2015
 
Comedy, like any art needs constant creativity.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…