Ni upandaji wa madaraja/vyeo.Kimsingi ukifuzu upambe unapanda na kuwa chawa.Chawa akimuona tajiri yake kazubaa/kasahau,anamng'ata ili "ajikune"/afanye jambo la kutafuta tensions za washabiki.Hivi kuna tofauti kati ya chawa na mpambe?
Aisee, dunia imechangamka sana.Ni upandaji wa madaraja/vyeo.Kimsingi ukifuzu upambe unapanda na kuwa chawa.Chawa akimuona tajiri yake kazubaa/kasahau,anamng'ata ili "ajikune"/afanye jambo la kutafuta tensions za washabiki.
Hi namsahauje Mr. Pimbi kwa mfano?π
1. Haji Manara
2. Haji Manara
3. Haji Manara
4. Haji Marana
5. Haji Manara
6.Mwijaku
7.Baba Levo
8. H.Baba
9. Aristote
10. Lokole
Hawachawa wanasifia mpaka wanakera, Kwa nini siku hizi kuwa chawa kunagombaniwa? Wenye machawa wanatafuta nini kwa chawa?