Panctuality JF-Expert Member Joined Jun 11, 2019 Posts 775 Reaction score 1,150 Jan 16, 2024 #141 Awali katika thread yako nilikukubali lakini ulipohitimisha kwa jina Lucas Mwashambwa umekifuta nilichoanza kukikubali katika uzi huo maana ni chawa tu wa kusifia mfumo
Awali katika thread yako nilikukubali lakini ulipohitimisha kwa jina Lucas Mwashambwa umekifuta nilichoanza kukikubali katika uzi huo maana ni chawa tu wa kusifia mfumo
Mvinyo mpya JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 1,052 Reaction score 2,866 Feb 3, 2025 #142 Mukama, Chongolo, Bashiru, hawakupendwa na wana ccm