DULLAH B. JF-Expert Member Joined Apr 21, 2011 Posts 672 Reaction score 149 Aug 10, 2014 #1 mia ya nn? kama umeamua kusaidia watu yamwage hapa.
Amalinze JF-Expert Member Joined May 6, 2012 Posts 6,780 Reaction score 5,305 Aug 10, 2014 #2 Fursa Twenzetu,sh 100 tena wakati kuna free sms lol.
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,819 Aug 10, 2014 #3 Wizi mwingine haukubaliki
CHARLES KIHOMBO Member Joined Feb 28, 2014 Posts 76 Reaction score 19 Aug 10, 2014 #4 Tuwekee link tusome majina hayo
CHARLES KIHOMBO Member Joined Feb 28, 2014 Posts 76 Reaction score 19 Aug 10, 2014 #5 Majina hayo bofya hapa http://policeforce.go.tz/index.php/...na-wa-kidato-cha-nne-walioitwa-kwenye-usahili au Kuitwa kwenye Usahili:Orodha ya vijana wa kidato cha Sita na Nne waliochaguliwa
Majina hayo bofya hapa http://policeforce.go.tz/index.php/...na-wa-kidato-cha-nne-walioitwa-kwenye-usahili au Kuitwa kwenye Usahili:Orodha ya vijana wa kidato cha Sita na Nne waliochaguliwa
S Sundiata Member Joined Aug 9, 2014 Posts 65 Reaction score 26 Aug 10, 2014 #6 Watanzania tumekaa kiuwiz wizi muda wote' eti sh 100 ya kuangaliziwa'
Good Father JF-Expert Member Joined Feb 28, 2014 Posts 10,321 Reaction score 18,574 Aug 14, 2014 #7 Hao wameitwa kwenye usaili sio waliopangiwa.
Madege JF-Expert Member Joined Dec 8, 2011 Posts 530 Reaction score 109 Aug 15, 2014 #8 umepigwa na maisha ukaona hapa ndo suluhisho la majanga yako si ndio. acha wizi