Orodha ya asasi za Tanzania inapatikana

cerengeti

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
3,878
Reaction score
1,626
Baada ya utafiti usiopungua miaka miwili nikusanya taarifa za asasi zote nchini.. Nawasilisha.

Orodha hii ipo katika makundi matatu.
1. Asasi za kimataifa
2. Asasi za kitaifa

Imeshereni taarifa zifuatazo:-

1. Jina la Asasi/taasisi
2. Jina la muhusika
3. Anuani ya posta/ makazi
4. Namba ya simu.
5. Namba ya nukushi.
6. Barua pepe
7. Tovuti
8. Mji
9. Mkoa
10. Kanda
11. Shughuli za asasi.

Database/directory hii ni kwa ajili ya :-
1. Wafanya biashara wanaotafuta masoko ya bidhaa/Huduma zao.
2.wataalamu na watafiti wa masoko
3.walio hitimu au waona tafuta ajira katika asasi zisizo za kiserikali.
4. Yeyote.

Sababu tatu za Kuwa nayo:
1.Inaokoa muda: huna haja ya kutafiti kwenye internet, taarifa zote unazohitaji zipo pamoja.
2. Inaokoa pesa:
3. Gundua Wateja wapya na kukuza biashara yako.

IPO katika format ya PDF/XCL /CVS
Inapatikana;-

Wigo media
0767 102102-(whatsapp)
0655 308308
wigotz@gmail.com
 

Attachments

  • 1432696646757.jpg
    60.5 KB · Views: 322
Ujaeka wazi hizo information unauza au free?km unauza sema bei hapa tujue tunapataje
 

tupia humu mkuu..naona hazikufika zote..piusvallentine@gmail.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…