Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

Lakini kesi yao sio wafanyabiashara wadogo tu wasiojua kodi hata wakubwa wanasema TRA inawakadiria kodi kubwa sana tofauti na uhalisia wa biashara. Kodi lazima ilipwe ila ukikadiriwa kodi ambayo haifanani na unachokiuza lazima utafunga biashara. Labda ungewashauri hata hao wafanyabiashara wadogo wawe wanaajiri tax consultants maana wanaonelewa sana na ukitegemea hawana sheria hata moja ya kodi wanayoijua na wengi wao hawana docs zozote huwa wanakadiriwa tu ili walipe kodi na ndo hapo TRA wanapowamaliza.
 
Nampango wa kufungua car wash,cjui TRA wanatanibanaje asee,maana wanakaba hatari
 
MBITIYAZA sikujua nawe kama unajua kutofautisha almasi na chupa.

Leo umenionyesha umepevuka kiakil si kama mwaka jana maana unavyo mchukia The List nilijua lazima upite kimya kimya apa au uache sonyo la kinyantuzu.


hahhhaha!niliamua kwenda na beats zako !nafanyaje sasa
 
Le mutuz akili kubwa atapitia sasa hivi(nimesema tuu)

Anyway kila kitu hapo ni fact!!
Nimewai jaribu hiyo ya chakula kipindi cha nane nane mkoa fulani nikiwa bado ni mwanafunzi wa chuo.Sio siri kwa mtaji mdogo sana ndani ya siku 10 tu nilipata millions.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…