OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
Naanza
Zito Kabwe (Kigoma kaskazini) ,Nape Nauye (Kinondoni) ,Said Kubenea (mafia),Husein Bashe (Nzega) Jery Slaa (Ukonga) ,Amos Makal (mvomero) ,John Nchimbi (Kigamboni), Sango Kasera (Rorya) ,Dr Emanuel Nchimbi (Songea mjini) ,Martin Shigela (kishapu) ,Denis Msacky (vunjo) ,Alima Mdee (kawe) ,Tom MWANGONDA (MBEYA mJINI) ,John Mrema(rombo),John Mashaka
Grees zinazohitajika ,
Phielemon Ndesamburo,Samwe Sita ,MAMA Kilango,Dr Mwakyembe,DR Slaa,Ole Sendeka,
Mzee Malecela,Kingunge,sarungi ,Warioba,Kitine,na wwngine rika lao wakae pembeni wawaaachie vijana waendeshe gurudumu la Taifa
Ruksa kuongeza
Naanza
Zito Kabwe (Kigoma kaskazini) ,Nape Nauye (Kinondoni) ,Said Kubenea (mafia),Husein Bashe (Nzega) Jery Slaa (Ukonga) ,Amos Makal (mvomero) ,John Nchimbi (Kigamboni), Sango Kasera (Rorya) ,Dr Emanuel Nchimbi (Songea mjini) ,Martin Shigela (kishapu) ,Denis Msacky (vunjo) ,Alima Mdee (kawe) ,Tom MWANGONDA (MBEYA mJINI) ,John Mrema(rombo),John Mashaka
Grees zinazohitajika ,
Phielemon Ndesamburo,Samwe Sita ,MAMA Kilango,Dr Mwakyembe,DR Slaa,Ole Sendeka,
Mzee Malecela,Kingunge,sarungi ,Warioba,Kitine,na wwngine rika lao wakae pembeni wawaaachie vijana waendeshe gurudumu la Taifa
Ruksa kuongeza
Kwanza nadhani haijalishi kama wewe ni kijana au mzee ili uwe mwakilishi mzuri bungeni. wapo vijana wabunge hawana sera na wapo wazee pia wenye sera.
kubenea naye kijana kumbe?
Naanza
Zito Kabwe (Kigoma kaskazini) ,Nape Nauye (Kinondoni) ,Said Kubenea (mafia),Husein Bashe (Nzega) Jery Slaa (Ukonga) ,Amos Makal (mvomero) ,John Nchimbi (Kigamboni), Sango Kasera (Rorya) ,Dr Emanuel Nchimbi (Songea mjini) ,Martin Shigela (kishapu) ,Denis Msacky (vunjo) ,Alima Mdee (kawe) ,Tom MWANGONDA (MBEYA mJINI) ,John Mrema(rombo),John Mashaka
Grees zinazohitajika ,
Phielemon Ndesamburo,Samwe Sita ,MAMA Kilango,Dr Mwakyembe,DR Slaa,Ole Sendeka,
Mzee Malecela,Kingunge,sarungi ,Warioba,Kitine,na wwngine rika lao wakae pembeni wawaaachie vijana waendeshe gurudumu la Taifa
Ruksa kuongeza
People think Politics as a job like any other career rather than a service to and for the people,hao uliwaorodhesha wana mtazamo gani na nini kimekuvutia kwao?
kubenea naye kijana kumbe?
Naanza
Zito Kabwe (Kigoma kaskazini) ,Nape Nauye (Kinondoni) ,Said Kubenea (mafia),Husein Bashe (Nzega) Jery Slaa (Ukonga) ,Amos Makal (mvomero) ,John Nchimbi (Kigamboni), Sango Kasera (Rorya) ,Dr Emanuel Nchimbi (Songea mjini) ,Martin Shigela (kishapu) ,Denis Msacky (vunjo) ,Alima Mdee (kawe) ,Tom MWANGONDA (MBEYA mJINI) ,John Mrema(rombo),John Mashaka
Grees zinazohitajika ,
Phielemon Ndesamburo,Samwe Sita ,MAMA Kilango,Dr Mwakyembe,DR Slaa,Ole Sendeka,
Mzee Malecela,Kingunge,sarungi ,Warioba,Kitine,na wwngine rika lao wakae pembeni wawaaachie vijana waendeshe gurudumu la Taifa
Ruksa kuongeza
Yeyote aliye na umri wa miaka 50 hadi 30 ni kijana kwenye mambo ya siasa. Angalia mabunge ya nchi zilizobobea kwa demokrasia kuna wabunge gani wa miaka 30 au hata 40 kwenda chini?
Watu kama Kubenea ndio wanaotakiwa kwenye mabunge yetu ili watoe changamoto inayostahili kwa Serikali. Wabunge wengi watu wazima wanagombea ili kuendeleza 'ajira' na si kutoa changamoto kwa Serikali kwa manufaa ya wananchi. Pamoja na mapungufu yote ya kwenye bajeti hatujasikia Mbunge aliyetoa shilingi na kuichangamsha Serikali ipasavyo au utaratibu huo haupo tena?!