tunashukuru kwa taarifa mkuu vp kwa ambao wapo jeshini na fomu zao zinahitajika kusainia je mtu yeyote wa karibu anaweza kwenda kumsainia..??
Hayo majina ni ya waombaji wapya au kuna ya continuous wa mara ya pill?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForum
Ssidhani kama hiyo inawezekana.Nadhani watapewa pass waje warekebishe kama walivyofanya mwaka jana