Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Orodha hii hapa.
Kongowe, hapa ni mpakani mwa Dar na Pwani, kuna movement kubwa sana ya watu, magari mengi na junction ya kutoka Kigamboni kwenda Mkuranga au Mbagala.
Mwandege hapa iliwekwa kituo cha mabasi ya mikoa ya Kusini,kiwanda kikubwa cha Bakhresa kipo hapa. Kuna biashara nyingine sana hapa.
Vikindu hapa kuna ongezeko kubwa sana la wahamiaji viwanja ni vidogo bei rahisi kiasi kila mtu ana mudu gharama. Kuna viwanda na makaazi mengi sana. Katika barabara ya Kilwa ukiacha Mbagala basi Vikindu inafuata kwa biashara.
Kisemvule. Kuna kiwanda na mabati, viwanda vya saruji,kiwanda cha kuunganisha pikipiki n.k makaazi ni mengi sana. Gari za eicher na tata toka gerezani kkoo zinapiga ruti moja kwa moja mpaka Kisemvule ni eneo linalokuwa kwa kasi sana.
Pamoja na hayo bado serikali haijaona umuhimu wa kupanua njia na kuwa hata nje 4 tu badala ya 8 kaka Kimara Mbezi.
ikitokea gari kukwama njiani basi siku imeishia hapa.
miaka 10 iijayo hali itakuwaje?
Kongowe, hapa ni mpakani mwa Dar na Pwani, kuna movement kubwa sana ya watu, magari mengi na junction ya kutoka Kigamboni kwenda Mkuranga au Mbagala.
Mwandege hapa iliwekwa kituo cha mabasi ya mikoa ya Kusini,kiwanda kikubwa cha Bakhresa kipo hapa. Kuna biashara nyingine sana hapa.
Vikindu hapa kuna ongezeko kubwa sana la wahamiaji viwanja ni vidogo bei rahisi kiasi kila mtu ana mudu gharama. Kuna viwanda na makaazi mengi sana. Katika barabara ya Kilwa ukiacha Mbagala basi Vikindu inafuata kwa biashara.
Kisemvule. Kuna kiwanda na mabati, viwanda vya saruji,kiwanda cha kuunganisha pikipiki n.k makaazi ni mengi sana. Gari za eicher na tata toka gerezani kkoo zinapiga ruti moja kwa moja mpaka Kisemvule ni eneo linalokuwa kwa kasi sana.
Pamoja na hayo bado serikali haijaona umuhimu wa kupanua njia na kuwa hata nje 4 tu badala ya 8 kaka Kimara Mbezi.
ikitokea gari kukwama njiani basi siku imeishia hapa.
miaka 10 iijayo hali itakuwaje?