ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Kusanya taarifa kwenye mikoa na miji tajwa hapo juu utapata cha kuwekezaKuwekeza vitu gani kwa mfano? Wengine pesa ipo tatzo ishu za business hatuelewi...
Asante bossK
Kusanya taarifa kwenye mikoa na miji tajwa hapo juu utapata cha kuwekeza
Wapi upcoming city uchwara Moshi,wachaga mtaendeshaje jiji bila pesa yaani mnazidiwa na mji mdogo kama Nanyamba huko Ntwara aisee
Basi nawe toa takwimu zakoTabora nimekataa. Labda kama unaenda kuwekeza kwa mademu wa kinyamwezi
Hizo hizo ni takwimu zangu lakini naondoa TaboraBasi nawe toa takwimu zako
Tuko mwaka huu sio mwaka janaUnapokoment bila kufanya research unakosea. Aliekwambia wachaga wanaendesha jj bila pesa ni nani? Umeshazunguka moshi jiji uone wachaga wanavyochapa kazi. Kama sijakosea takwimu za mwaka jana moshi ilikuwa juu ya mtwara so hako kamji ambacho hata hakajulikani kamwe hakawezi kuishinda moshi.
Check takwim zingine za kimapato zilitoka juzi.
Utaendelea kukataa hivyo hivyo hapo juu kuna majedwali ya Tamisemi soma sio unasikiliza hisia zako binafsiTabora nimekataa. Labda kama unaenda kuwekeza kwa mademu wa kinyamwezi
Hivi kwa nn huwa hamtaki kusoma?NTWARA haipo?
Soon Morogoro itakua jiji maana wajuu wote washakua majijiIfuatayo ni orodha ya mikoa/miji kumi ambayo wananchi wake wana ahueni ya kipato hivyo muwekezaji/mfanyabiashara makini lazima uzingatie.
1.Dar
2.Dodoma
3.Arusha
4.Mwanza
5.Tanga
6.Morogoro
7.Mbeya
8.Mtwara
9.Pwani
10.Tabora
Source. OR-TAMISEMI-2018
Note..Kuna miji na mikoa haiko kwenye top ten list lakini iko vizuri kimapato mfano Kahama,Tunduma
Hata kama kungekuwa na majedwali ya UN nasema nakataa.Utaendelea kukataa hivyo hivyo hapo juu kuna majedwali ya Tamisemi soma sio unasikiliza hisia zako binafsi
Angalia usije ukatekwaKuwekeza vitu gani kwa mfano? Wengine pesa ipo tatzo ishu za business hatuelewi...
Kutoa takwimu zako ni kosa la jinai mkuuBasi nawe toa takwimu zako
Ekueme feki kabisa wwHata kama kungekuwa na majedwali ya UN nasema nakataa.
Bado sana mapato ya manispaa ni kiduchuSoon Morogoro itakua jiji maana wajuu wote washakua majiji
Hiyo n ngumu go research on yr ownUngetoa na aina ya fursa katika kila mkoa
Takwimu za mapato ndo znafanya ikosekane sio utashi binafsi ko sijajua unamuuliza naniIringa inakosekanaje?