Mbona Tenet ipo ktk clean version...u Itakua site unayotumia haiko sawa or file ulilochagua halipo sawa...
jaribu 1337x then sort by size, or use or Zooqle.com.
Note. the bigger the size the better quality of the video..mi Tenet nliyodownload ni ya 76.4 Gb from zooqle( 4K Bluray & 5.1 DTS-HD audio)
Mkuu movie ya ukubwa huu inaweza kuchukua ht siku nzima ku download...ila kwa vile nishakua addicted na high quality videos nipo willing ku wait hadi imalize ku download..i prefer uncompressed video ili nipate all the details in it kuanzia video mpaka audio, yani ht ka upepo kakivuma kwa mbali na mimi nikaskie...abt mtandao nipo na Jamaa wa Zuku.Duuuh mkuu 76 Gb sio mchezo unatumia mtandao gani kupakua movies za ukubwa huo
Mkuu movie ya ukubwa huu inaweza kuchukua ht siku nzima ku download...ila kwa vile nishakua addicted na high quality videos nipo willing ku wait hadi imalize ku download..i prefer uncompressed video ili nipate all the details in it kuanzia video mpaka audio, yani ht ka upepo kakivuma kwa mbali na mimi nikaskie...abt mtandao nipo na Jamaa wa Zuku.
Mimi napenda historical movies na drama+comedy movies. Movies ambazo ni fiction sana zinanishinda, mfano zote za Marvel studio sizifurahii, i hope umepata picha aina ya movies ambazo napenda rafiki...
'bloodshot too much computer'.
Za hivyo hua siangalii kabisaaaaaa.
Nimesikitika sana kuona John wick chapter 3 imetajwa na mdau mmoja tu, kwa miaka 3 mfululizo ukitaja movie 5 bora huwezi acha John wick labda upange kwa genre, anyway best series mwaka 2020 kwangu ilikuwa
1.Gangs of London
2.Peaky blinders
Ila best series of all time ni Breaking bad, kwa upande wangu
Uliisifia sana nikawa na expectation za kupata kitu bora sana nimeona ni kawaida.....reality pia yaweza kuwa relevant...
Mzee baba Asante
Hivi hii tenet mbona sipati HD zilizopo muonekano mbovu na sauti haina quality
Pamoja mkuu, hiyo waga inatokea, unakuta umetulia weekend uchek movies ulizo download week nzima alafu unakuta zote mbaya hadi unatafuta ingine ya kurudiaWakuu samahani sana kama niliwashawishi mkatumia fedha zenu kuangalia WW84 Movie.
Kiukweli hii muvi inaboa sana sikutegemea...bora uangalie The Crood 2. Kwa jinsi Wonder woman ya 2017 ilivyokua bomba nilijua tu ya mwaka huu itakua nzuri zaifi ila Daaah.. DC na Warner Bros Studio wameniangusha sana.
Zack Snyder ajitafakari mwenendo wake kama anataka kutengeneza muvi bora kama Marvel studio..
Bila samahani Vinci, nimeiangalia majuzi nikasema yaleyale niliyokuwa namwambia Vinci... wamefanya utoto sana mule, stori mbaya dah. Wonder woman ya 2017 stori yake ilikuwa very interesting.Wakuu samahani sana kama niliwashawishi mkatumia fedha zenu kuangalia WW84 Movie.
Kiukweli hii muvi inaboa sana sikutegemea...bora uangalie The Crood 2. Kwa jinsi Wonder woman ya 2017 ilivyokua bomba nilijua tu ya mwaka huu itakua nzuri zaifi ila Daaah.. DC na Warner Bros Studio wameniangusha sana.
Zack Snyder ajitafakari mwenendo wake kama anataka kutengeneza muvi bora kama Marvel studio..
Kwakweli nimesikitika sana, Character ya Diana Prince ni moja ya powerful character kwenye Comics. Ila hawajaitendea haki kabisa...Hakuna mapigano makali pia stori ipo hovyo. Nilikua naona Captain Marvel ndio muvi mbaya japo Carol Danvers ni powerful character ila hii WW84 ni kama mikia wa msimbazi tu!😆Bila samahani Vinci, nimeiangalia majuzi nikasema yaleyale niliyokuwa namwambia Vinci... wamefanya utoto sana mule, stori mbaya dah. Wonder woman ya 2017 stori yake ilikuwa very interesting.
Kwakweli I was so disappointed.. luckily hua sipakui muvi.Pamoja mkuu, hiyo waga inatokea, unakuta umetulia weekend uchek movies ulizo download week nzima alafu unakuta zote mbaya hadi unatafuta ingine ya kurudia
Acha kutafuta muvi nzuri anza na huziWakuu samahani sana kama niliwashawishi mkatumia fedha zenu kuangalia WW84 Movie.
Kiukweli hii muvi inaboa sana sikutegemea...bora uangalie The Crood 2. Kwa jinsi Wonder woman ya 2017 ilivyokua bomba nilijua tu ya mwaka huu itakua nzuri zaifi ila Daaah.. DC na Warner Bros Studio wameniangusha sana.
Zack Snyder ajitafakari mwenendo wake kama anataka kutengeneza muvi bora kama Marvel studio..
Natoaga vitu ambavyo nimesha viangalia andaa MB ZA KUTOSHAAhsante sana kesho naenda kuchukua nizicheki zote hizo. Ole wako😆
iyo noma sanaMovie hii inahuzunisha sana!
View attachment 1675671
sjaona apo LACASA DE PAPEL bonge la movieSalute..
B.Obama mwanzoni mwa wiki katoa orodha yake ya Movies na Series bora alizotazama mwaa huu. Ifuatyo ni orodha ya muvi bomba nilizotazama mwaka huu 2020. Nb Kuna zingine sio za mwaka huu ila nimeziangalia mwaka huu nimezipenda sana.
✓✓Action Movies
√√Comedy
- Wonder woman 1984
- Extraction
- What Happened to Monday
- Bloodshot
- Birds of Prey
- Ironman 1-3
- Night come for Us
- To be continued...
Hii muvi hua hainichoshi nacheka sana nikiangalia na lafudhi yao ya kiarabu. Adam sandler chizi sana😀 kama hujaiona itafute
- You don't mess with zohan
Yaani hiii na hiyo ya juu zimetofautiana kidogo wote wajinga sana hawa watu, Sacha Baron cohen hajawahi niangusha mtazame kwenye series ya S.P.Y
- The Dictator
Nimeangalia The Hangover naona hazijanipendeza
✓✓Animation
Salute kwao Pixar studio hii muvi safi sana mwaka huu nimeutumia kukusanya animation zilizotengenezwa Pixar studio
- Wall-E
- Despicable me 🤣🤣 Gruuuuuuu......Druuuuuuuu
- Kung fu panda
- Up
- Spy in Disguise
- Home 😆😆😆 hua inanifurahisha sana
- Penguin of Madagascar
- Nezha
- Coco
- Finding Nemo
- The Incredibles 2
✓✓Series
Hapa nitaiweka
- Game of Throne S8
- Dark
Nadhani kwakuwa Mshkaji anaongelea single movies ndomana hujaiona haposjaona apo LACASA DE PAPEL bonge la movie