Ikaria
Member
- Jul 17, 2019
- 93
- 238
Jumla ya nchi saba tayari zimesitisha utoaji wa chanjo💉 ya Astrazeneca:
✓ Denmark
✓ Iceland
✓ Austria
✓ Estonia
✓ Lithuania
✓ Luxembourg
✓ Latvia
Sababu ya kusimamishwa kwa shughuli hii ni kesi nyingi za watu kurudi hospitali na kugundulika damu yao inaganda, hali ambayo imezua hofu.
Je, chanjo hii ni salama ?
Mataifa mengi Africa ikiwemo Kenya yameshaipokea.
✓ Denmark
✓ Iceland
✓ Austria
✓ Estonia
✓ Lithuania
✓ Luxembourg
✓ Latvia
Sababu ya kusimamishwa kwa shughuli hii ni kesi nyingi za watu kurudi hospitali na kugundulika damu yao inaganda, hali ambayo imezua hofu.
Je, chanjo hii ni salama ?
Mataifa mengi Africa ikiwemo Kenya yameshaipokea.