Orodha ya vvyuo vikuu 400 bora duniani: Kunani afrika mashariki???

Njelekela

Member
Joined
Oct 10, 2011
Posts
5
Reaction score
1
Katika orodha ya Vyuo Vikuu Bora 400 Duniani (THE TOP 400 World Universities 2011/12)iliyotolewa hivi karibuni na The Times Higher Education (THE) World Universities Ranking HAKUNA HATA CHUO KIMOJA TOKA AFRIKA MASHARIKI...! Nini maana yake? Nini tatizo? Nini kifanyike?

Vigezo 13 vinatumika vikiwemo research, teaching, citations, etc.
Soma hapa: timeshighereducation.co.uk/world-university-rankings/2011-2012/africa.html
 
Pengine kweli ni 'subjective' na sio fair kama inavyosemwa na wasomi wengi hasa wa nchi zilizo katika nafasi za chini. Lakini, ngoja niorodheshe vigezo vilivyotumika kupata orodha hii na tuone kipi si sahihi kutumika katika kupanga, HASA VYUO VYETU. Nitaviweka kwa lugha waliypitumia wao na asilimia zake kwenye mabano.

1. Teaching: The learning environment (30%)

2. Research: Volume, Income and Reputation (30%)

3. Citations: Research influence (30%)

4. Industry Income: Innovation (2.5%)

5. International Outlook: Staff, Students and Research (7.5%)

Ni kigezo kipi ambacho wanazuoni wa Kitanzania wasemacho sio sahihi kuvi-rank vyuo vyetu? Tuache kujitetea na tuliangalie hili katika ukweli wake na kulitafutia ufumbuzi.
 
Ukweli ni huo,vyuo vyetu elimu ni duni, hii inachangiwa na vitu vingi likiwemo swala la masilahi. Kwa sababu ya masilahi duni wanayopata wahadhiri wa vyuo vikuu Afrika,Muda mwingi wanatumia katika kufikiria masilahi yao tu badala ya kuboresha taaluma kwa ujumla.Serikali za kiafrika zinashauriwa kuwekeza zaidi katika hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…