Orodha ya wachezaji mizigo Yanga

Simba ndo wataalam wa kusajili naona
Dejan
Okwa
Outara
Dankan nyoni
Banda
Chikwende
Boko
Sio mzigo
Mama ngoja trh23 tuwatie mimba
 
Joyce,papaa Morisone, Yanga mnawekeza kwenye kumfunga Simba mnasahau Heshima kubwa ni kufanya vizuri mashindano ya CAF.....sajili wachezaji watakaoweza kukupa a matokeo kwenye mashindano ya kimataifa sio kuwafunga Dodoma jiji basi unaona umemaliza,CAF kuwa giant inahitaji uwekezaji wa wachezaji wa hali ya juu uwe na high quality players pamoja na mwalimu mwenye uzoefu na mashindano.

Simba amefanikiwa kwa kuwekeza na kushiriki mashindano kwa muda mrefu ndio maana anakuwa moja ya timu kubwa ambazo kuingia makundi ni kawaida.

Mkitaka kufanikiwa jifunzeni kwa waliofanikiwa sio dhambi, mpeni Nabi nauli akafanye study tour kwa Mosimane au Ibenge walifanikiwa je kwenye mashindano ya CAF......Mna mambo mengi ya kujifunza kama Sisi wana AZAM FC..
 
Kisinda,Lomalisa hawa ni mizigo.

Morisone wakijua jinsi ya kumtumia sio mzigo ila akianza kipindi cha kwanza huwa mzigo tena anaweza hata akapata red card,ila akianzia second half huwa anawapa jambo amazing sana.
 
Fact..... upo ktk mashindano ya klabu bingwa unacheza na tmu za mtaani kweli????? Unashindwa kwenda hata Uganda hapo kurudiana na vipers waliokufunga ili uangalie panapovuja upazibe.....

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Yani Injinia aendelee tu kutumia hela? Faida ataiona Sasa? Furaha ya Wanayanga kuifunga Simba, kesha jua pa kuwakamata ili aendelee kupiga pesa pale klabuni.
 
Mutambala Lomalisa kazidiwa kila kitu na David Luhende wa Kagera Sugar
 
Sidhani kama uchawi mkuu.... ni uongozi kutaka masifa ya kijinga toka kwa mashabiki kumrudisha morisson au kisinda

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kwa Morrison kuna sifa gan? Maana Simba walimtema. Na alitugaragaza kule CAS miaka sijui mingapi.akasema Simba ndiyo Chuo cha Mpira. Kama mifala ametemwa Simba tunaenda Mchukua.... Pale wapigaji Yanga ni wengi. Kama ambavyo Manara alitemwa sisi tukaona ni wa Maana....tumekuwa watu wa hovyo sana
 
Morrison Simba walishamwacha. Walishaona hana nidhamu. Ndo maana unaona mwishoni walimtema kiaina. Simba walimwacha jamaa baada ya kuona ana homa ya vipindi. Sisi ambao alishatuaibisha tukamwona ni mali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…