Orodha ya WATAKAOUAWA

Wale Wote wasifanya kazi wanachojua ni kushinda bar kukopa bia huku wakisubiri washkaji waje kuwalewesha,Mademu wote wanaopenda kuchuna alikuwa anakunywa pepsi ukifika anaagizia Savana!! pumbafu,,,Wambea wote na wanafiki bila kuwasahau Machangudoa,Na mwisho kabisa ni kwa wale wanaojijua kabisa wameathirika kwa Ukimwi lakini wanasambaza kwa makusudi.
 
Mnafki TUNDU LISU
Yule Anayejiita Shangazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mbona haupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…