Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Smart phone revolution imekuja na changamoto zake , hasa kwa wale wasioweza kujidhibiti na kujikuta wakipost ama maudhui yasiyo na maadili au maudhui yasiyo natija kwa jamii. Orodha hii itakuwa refu kulingana na utafiti wangu siku za usoni.
1. Malkia wa nyuki
2. Cynacute
3. Hello tanzania
4. Oscar Oscar jr
5.Divathebwse (huyu bado tunatafiti maudhui yake)
itaendelea😂
1. Malkia wa nyuki
2. Cynacute
3. Hello tanzania
4. Oscar Oscar jr
5.Divathebwse (huyu bado tunatafiti maudhui yake)
itaendelea😂