Orodha ya watanzania wanaoongoza kuposti maudhui ya hovyo mtandaoni

Orodha ya watanzania wanaoongoza kuposti maudhui ya hovyo mtandaoni

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Smart phone revolution imekuja na changamoto zake , hasa kwa wale wasioweza kujidhibiti na kujikuta wakipost ama maudhui yasiyo na maadili au maudhui yasiyo natija kwa jamii. Orodha hii itakuwa refu kulingana na utafiti wangu siku za usoni.
1. Malkia wa nyuki
2. Cynacute
3. Hello tanzania
4. Oscar Oscar jr
5.Divathebwse (huyu bado tunatafiti maudhui yake)
itaendelea😂
 
1740378441893.png
..., MLETA MADA, ....!
 
Smart phone revolution imekuja na changamoto zake , hasa kwa wale wasioweza kujidhibiti na kujikuta wakipost ama maudhui yasiyo na maadili au maudhui yasiyo natija kwa jamii. Orodha hii itakuwa refu kulingana na utafiti wangu siku za usoni.
1. Malkia wa nyuki
2. Cynacute
3. Hello tanzania
4. Oscar Oscar jr
5.Divathebwse (huyu bado tunatafiti maudhui yake)
itaendelea😂
1 na 3 meme zao ndiyo naziona sana za Ngono 99%.

4 - Osca naona kama meme zake za kuchekesha siyo direct.
5.Diva ni victim wa mapenzi.
2. Simjui wala sijawahi ona meme zake.
 
Smart phone revolution imekuja na changamoto zake , hasa kwa wale wasioweza kujidhibiti na kujikuta wakipost ama maudhui yasiyo na maadili au maudhui yasiyo natija kwa jamii. Orodha hii itakuwa refu kulingana na utafiti wangu siku za usoni.
1. Malkia wa nyuki
2. Cynacute
3. Hello tanzania
4. Oscar Oscar jr
5.Divathebwse (huyu bado tunatafiti maudhui yake)
itaendelea😂
Hao ni sample tu ila watanzania asilimia kubwa mtandaoni tunatia aibu kabisa.
 
Back
Top Bottom