Orodha ya watu wanaojiona wameyapatia maisha

Plus

Nurse on duty & teacher on duty hawa watu achana nao kabisa ukiwakuta kwenye 18 zao[emoji23][emoji23]
Nakubali nakubali kaka [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Ticha wa zamu tena umkute mshahara umechelewa utakoma kisanga chake

Nesi hapo Hospital ndio usijichanganye unaumwa utakoma mbona mkuu
 
Sana hujivisha U-Mungu mtu yani wao hawakoseagi na wayafanyayo ni sahihi muda wote. Wanatakaga wakikushauri ufuate ushauri wao.
Uko sahihi, wanajifanya wafia dini sana na wamelewa dini yaani sometimes hata reasoning yao kwenye jambo la kawaida watakutafutia andiko la kitabu au maelekezo kutoka kwa mchungaji
 
Uko sahihi, wanajifanya wafia dini sana na wamelewa dini yaani sometimes hata reasoning yao kwenye jambo la kawaida watakutafutia andiko la kitabu au maelekezo kutoka kwa mchungaji
Hiyo hali ya hivyo tayari mtu anakuwa sio wa kawaida tena, sijui n nini huwa kinawaingia ila huona kila jambo ni tofauti kwao ndio maana hata jambo la kawaida watalichukulia na kulielewa tofauti.
 
: Tour guide and tour drivers
: Air hosting
: politician wa ngazi za juu
: Vijana under 30 wanaovaa pens na makobazi
: MC wa sherehe na shughuli mbalimbali
 
Hiyo hali ya hivyo tayari mtu anakuwa sio wa kawaida tena, sijui n nini huwa kinawaingia ila huona kila jambo ni tofauti kwao ndio maana hata jambo la kawaida watalichukulia na kulielewa tofauti.
wanasema upako wa kiroho eti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…