Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kikosi choteWanajamvi,
Naomba orodha ya wachezaji wote wa Simba sc msimu huu wa 2016/2017...
Majabvi hayumo kikosiniKocha - Joseph Omog
Wachezaji wote watakaowatumia
katika msimu wa
2016/2017.
Magolikipa:
1. Vincent De Paul Angban*
2. Peter Manyika
3. Denis Deonis
Beki wa kulia:
4. Hamadi Juma: Coastal
Union
5. Salum Kimenya: Prisons
Beki wa kushoto:
6. Mohamed Hussein
7. Abdi Banda
Mabeki wa kati:
8. Novaty Lufunga
9. Juuko Murushid*
10. Emmanuel Simwanza-
Mwadui FC
11. Janvier Besala Bokungu*
Viungo:
12. Jonas Mkude
13. Awadh Juma
14. Justice Majabvi*
17. Saidi Ndemla
18. Mwinyi Kazimoto
19. Mzamiru Yassin: M.Sugar
20. Mohamed Ibrahim: M.Sugar
21. Mussa Ndusha*
Winga:
22. Peter Mwalyanzi
23. Jamal Mnyate – Mwadui
24. Shiza Kichuya – M. Sugar
25. Hassan Kabunda –
MwaduiFC
Washambuliaji:
26. Ibrahim Hajibu
27. Daniel Lyanga
28. Haji Ugando
29. Mbaraka Yusuf – K.Sugar
30. Laudit Mavugo *
31. Blagnon Goue Frederic *
32. Ame Ali – Azam FC
33. Method Mwanjari*
Nimejaribu kupekua pekua na kuunga unga naona wachezaji wanazidi..mfano wenyenyota wanaonekana wako 8 huku tukitakiwa kuwa nao 7 na jumla ya wachezaji ni 33 huku tukitakiwa kuwa nao 30 yaani wasizidi...
bado nahitaji msaada nijue chama langu maana mwaka huu ninaimani nalo sana tu