Osama anapikwa?

Osama anapikwa?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Juzi nimeangalia cnn nikaona eti osama anaongea juu ya obama. Siamini kama haya ni kweli. Kama anaweza hadi kuongea iweje kukamatwa? Mbona zarqawi, al sadr, et al walipatikana? Osama anataka kumfanya nn wajina wake? (obama)
 
Back
Top Bottom