The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Waandaaji wa tuzo za Oscar wanasema baada ya smith kufanya fujo na kumpiga Rock, aliombwa aondoke lakini akagoma.
Oscar Academy wanasema watamchukulia smith hatua za kinidhamu kwa kufanya fujona pia kudhalilisha hadhi ya tuzo hizo za kimataifa.
Watu wengi wanasema alichokifanya Smith kimezidi kuharibu picha ya watu weusi na kutengeneza mazingira ya kuwapa sababu watu kuendelea kusema kwamba watu weusi ni watu wa fujo, wasio wastaarabu na wanaopenda ghasia, na ugovi.
Mcheza kikapu mkongwe bwana Kareen Abdul Jabbar amesema alichokifanya Smith kimeharibu na kubomoa hadhi ya watu weusi Duniani kote kwa kutuonyesha watu weusi kua ni watu wasio wastaarabu, wagomvi.
www.goodmorningamerica.com
www.foxnews.com
Oscar Academy wanasema watamchukulia smith hatua za kinidhamu kwa kufanya fujona pia kudhalilisha hadhi ya tuzo hizo za kimataifa.
Watu wengi wanasema alichokifanya Smith kimezidi kuharibu picha ya watu weusi na kutengeneza mazingira ya kuwapa sababu watu kuendelea kusema kwamba watu weusi ni watu wa fujo, wasio wastaarabu na wanaopenda ghasia, na ugovi.
Mcheza kikapu mkongwe bwana Kareen Abdul Jabbar amesema alichokifanya Smith kimeharibu na kubomoa hadhi ya watu weusi Duniani kote kwa kutuonyesha watu weusi kua ni watu wasio wastaarabu, wagomvi.
Will Smith refused to leave Oscars after slapping Chris Rock: Academy
"Things unfolded in a way we could not have anticipated."
Will Smith’s Chris Rock slap ‘perpetuated stereotypes about the Black community,’ NBA legend says
NBA legend Kareem Abdul-Jabbar ripped Will Smith for slapping Chris Rock during the Academy Awards in a lengthy essay on his SubStack on Tuesday.