Oscar Oscar acha hizo 'Interviews' katika Media zitakuponza kuwa unafanya 'Pre-Campaign' na utalimwa na Kamati ya Uchaguzi

Umemaliza kila Kitu Mkuu siongezei....!!!

Cc: mtaa umetulea
 
Mimi nadhani lengo lake sio Urais wa TFF. Nadhani ana lengo lake lingine na ili kulifikia ni kupitia huku tff,,, na kwa hiyo ikitokea ameondolewa itakuwa kwake ni habari.

Na hiyo habari ndiyo aliyoitaka kumfikisha kwenye lengo la msingi.
Naam naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…