Bumbuli hana ata sifa ya kutokea Tabora labda huko Usoke ndio wanatoka wanywezi wa Kariba yake, jamaa Mshamba Mshamba Sana, Yani miaka yote aliyokuwa Yanga ameshindwa kujibrand kabisa anaacha kina Nugaz miaka 2 Tu teyari wametoboa kisa Yanga ye yupo Tu, mtabora gani kazubaa zubaa vile hajurikani ni kijana au mzee