Pre GE2025 Oscar Oscar: Tunao muda wakupata Sheria mpya za Uchaguzi kabla ya Oktoba, upelekwe mswada wa dharula

Pre GE2025 Oscar Oscar: Tunao muda wakupata Sheria mpya za Uchaguzi kabla ya Oktoba, upelekwe mswada wa dharula

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Wimbo wanaoimba CHADEMA hivi sasa ni "No Reform, No Election", wakishinikiza mabadiliko ya Katiba pamoja na Sheria za Uchaguzi kabla ya Oktoba 2025, hoja ambayo CCM wanaipiga dana dana.

Soma: Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano

Kwa, Mtangazaji wa Wasafi FM, Oscar Oscar anaamini muda wa Bunge uliobaki kabla Bunge kuvunjwa mwezi Juni unatosha kabisa kupata Sheria mpya za Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.

Soma, Pia

- Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa
- Tundu Lissu: CHADEMA tutazuia Uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakutakuwa na mabadiliko kimfumo
- Wasira awatetemesha akina Tundu Lissu na Wenzake: "Kauli Mbiu ya "No Reform, No Election" Haina Maana Kwa Sasa"
 
Bado Tatizo liko pale pale na litakua pale pale Kwa sababu Sheria hizo zitafungwa na Rais huyu huyu wa chama hiki hiki na zitajadiliwa na wabunge Hawa Hawa an ao asilimia mia Moja ni wa chama hiki hiki chini ya speaker ambaye ambaye ni mjumbe wa cc ya chama hiki hiki na zitapitishwa na Bunge hili hili!
Mbaya zaidi anatakeyesiani muswada huo kuwa Sheria ni Rais huyu huyu ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiki hiki! Atakayekuja kusimamia utekelezaji wa Sheria hiyo ni executive hiyo hiyo!
Kuna haja ya kuwaza nbinu nyingine ambayo itailazimisha Ccm kufikia concesus and compromise! These are to be forced hawana ustaarabu wa kukubaliana bila bila ba uhuni wa ndani ambao Kwa nje haionekani!
Walikaa vikao vya chama Mchakato wa katiba wakauharibu na Kila unachokisema kipo katika rasimu ya warioba!
Kama wamebadili tu Jina la tume kuongeza neno Huru na wakapiga makofi wakati muundo ni ule ule huoni ni wahuni? Wanafaa kulazimshwa namaanisha kulazimishwa
 
Bado Tatizo liko pale pale na litakua pale pale Kwa sababu Sheria hizo zitafungwa na Rais huyu huyu wa chama hiki hiki na zitajadiliwa na wabunge Hawa Hawa an ao asilimia mia Moja ni wa chama hiki hiki chini ya speaker ambaye ambaye ni mjumbe wa cc ya chama hiki hiki na zitapitishwa na Bunge hili hili!
Mbaya zaidi anatakeyesiani muswada huo kuwa Sheria ni Rais huyu huyu ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiki hiki! Atakayekuja kusimamia utekelezaji wa Sheria hiyo ni executive hiyo hiyo!
Kuna haja ya kuwaza nbinu nyingine ambayo itailazimisha Ccm kufikia concesus and compromise! These are to be forced hawana ustaarabu wa kukubaliana bila bila ba uhuni wa ndani ambao Kwa nje haionekani!
Walikaa vikao vya chama Mchakato wa katiba wakauharibu na Kila unachokisema kipo katika rasimu ya warioba!
Kama wamebadili tu Jina la tume kuongeza neno Huru na wakapiga makofi wakati muundo ni ule ule huoni ni wahuni? Wanafaa kulazimshwa namaanisha kulazimishwa

Wakifanya sheria mbovu makusudi si "no reform no election" inaendelea tu? Hamna tena muda wa kuburuzana
 
Bado Tatizo liko pale pale na litakua pale pale Kwa sababu Sheria hizo zitafungwa na Rais huyu huyu wa chama hiki hiki na zitajadiliwa na wabunge Hawa Hawa an ao asilimia mia Moja ni wa chama hiki hiki chini ya speaker ambaye ambaye ni mjumbe wa cc ya chama hiki hiki na zitapitishwa na Bunge hili hili!
Mbaya zaidi anatakeyesiani muswada huo kuwa Sheria ni Rais huyu huyu ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiki hiki! Atakayekuja kusimamia utekelezaji wa Sheria hiyo ni executive hiyo hiyo!
Kuna haja ya kuwaza nbinu nyingine ambayo itailazimisha Ccm kufikia concesus and compromise! These are to be forced hawana ustaarabu wa kukubaliana bila bila ba uhuni wa ndani ambao Kwa nje haionekani!
Walikaa vikao vya chama Mchakato wa katiba wakauharibu na Kila unachokisema kipo katika rasimu ya warioba!
Kama wamebadili tu Jina la tume kuongeza neno Huru na wakapiga makofi wakati muundo ni ule ule huoni ni wahuni? Wanafaa kulazimshwa namaanisha kulazimishwa
Naunga MKONO hoja..CDM umizeni vichwa mje na MIKAKATi THABITI INAYOTEKELEZEKA...Lazima box la kura liheshimiwe!
 
Back
Top Bottom