Tangaza billion ngapi kwanza
Mamushka,.nanji unapajua una paskia??Nanjilinji
Hapa hapa jukwaaniHebu mwana jf otea hapa duniani Mimi naishi wapi sehemu gani ?
Ila mambo ya kutekana tekana sitaki !!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] osama na ujanja wote ule walimkamataKona niliyopo duniani hata nikiwatukana mossad CIA fsb FBI shayetet 13 sayaret matkal kidon nk hawawezi nishika abadan