Pre GE2025 Othman Masoud: Mtanzania akilala hajui kama ataamka salama, tumuondoe CCM

Pre GE2025 Othman Masoud: Mtanzania akilala hajui kama ataamka salama, tumuondoe CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Othman Masoud Othman, Mwenyekiti wa ACT Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, ametoa kauli yenye mashiko kuhusu hali ya kiusalama na haki nchini, akisema kuwa Mtanzania akienda mahakamani hana hakika ya kupata haki yake, na hata akilala, hawezi kujua kama ataamka salama.

Akizunguza jana Desemba 27, 2024, akiwa Kahama, amesema:

"Mtanzania akienda Mahakamani hana hakika kama atapata haki yake. Hata akilala hajui kama ataamka salama. Tunahitaji mageuzi. Tunahitaji kumwondosha anayetuendesha kwa miaka zaidi ya 60"

IMG_2093.jpeg

Soma, Pia: ACT yamteua Othman kuongoza timu mageuzi ya Kisiasa Zanzibar
 
Othman Masoud Othman, Mwenyekiti wa ACT Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, ametoa kauli yenye mashiko kuhusu hali ya kiusalama na haki nchini, akisema kuwa Mtanzania akienda mahakamani hana hakika ya kupata haki yake, na hata akilala, hawezi kujua kama ataamka salama.

"Mtanzania akienda Mahakamani hana hakika kama atapata haki yake. Hata akilala hajui kama ataamka salama. Tunahitaji mageuzi. Tunahitaji kumwondosha anayetuendesha kwa miaka zaidi ya 60"
View attachment 3186926

Soma, Pia: ACT yamteua Othman kuongoza timu mageuzi ya Kisiasa Zanzibar
Kaota mashavu aiseeee
 
Naogopa sana Tundu Lisu akijiunga na huyu OMO 🐼
Ngoja ccm waichezee Chadema halafu ACT wamchukue Lissu.
Huku Bara awe TAL and kule Zenj OMO- watauwasha Moto sana. Na hiyo serikali tatu ambayo ccm hawaitaki, wataipata tu watake wasitake. Serikali tatu ndilo jambo linalo wafanya ccm wamuogope Lissu kwamba Muungano utavunjika na wasicho kijua ni kwamba, hilo wazo la serikali tatu lilitolewa na Warioba mtu wao, sasa sijui ni kwa nini wasiongee na Warioba alete jibu tofauti na kile alicho pendekeza kwenye katiba yake.
 
Othman Masoud Othman, Mwenyekiti wa ACT Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, ametoa kauli yenye mashiko kuhusu hali ya kiusalama na haki nchini, akisema kuwa Mtanzania akienda mahakamani hana hakika ya kupata haki yake, na hata akilala, hawezi kujua kama ataamka salama.

"Mtanzania akienda Mahakamani hana hakika kama atapata haki yake. Hata akilala hajui kama ataamka salama. Tunahitaji mageuzi. Tunahitaji kumwondosha anayetuendesha kwa miaka zaidi ya 60"
View attachment 3186926

Soma, Pia: ACT yamteua Othman kuongoza timu mageuzi ya Kisiasa Zanzibar
Utekaji umezidi ugaidi.
 
Tatizo Zitto ni Mbowe part II
Wapemba ni akili kubwa huyo Zitto ameshawekwa pembeni Kwa kutumia Hekima kubwa

Tatizo Chadema mnaendekeza Njaa yule Hayati Lowassa aliwanunua, Polepole akawanunua na sasa Dully kamnunua Mwenyekiti kabisa dadeki 😂
 
Kwa hiyo huyo CCM ataondolewa kupitia hayo maneno yake matupu ya jukwaani! Au kupitia hicho cheo chake cha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar!

Atuwekee mbinu mbadala kwanza za kumuondoa. Maana hizi za sasa zote zimeshindwa.
 
Wapemba ni akili kubwa huyo Zitto ameshawekwa pembeni Kwa kutumia Hekima kubwa

Tatizo Chadema mnaendekeza Njaa yule Hayati Lowassa aliwanunua, Polepole akawanunua na sasa Dully kamnunua Mwenyekiti kabisa dadeki 😂
Shida sio ccm, ni dola.
 
Back
Top Bottom