Otile ameangusha nyingine bonge la

Umefanya vizuri. Lazima ningejifanya kilaza because our conversation was leading to nowhere. I love that.Njia ni nyingi za kumuua panya. Thanks for your time anyway. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2] [emoji119] stay well
 
Chaguo la moyo ft sana.-8M+
Baby love 4.6M
Mapenzi hisia
Wakenya wameamua kusapoti muziki wao huu mwaka. bravo Kenyans.
Bongo flavour is starting to lose popularity
 
Machalii wa getto nao wame anza kuimba love songz [emoji23][emoji23][emoji23]by de way namjua BAHATI na Khaligraph jonez..tu wengine nawa ckiaga tu kama uyu c wa wapi
 
Bro yo crazy ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....nimecheka asee
Kwani unaogopa porno wewe ni virgin nikuletee dadangu? Youtube haina porno, wewe search tu "kiuno mombasa" itakuja
 
Bongo became famous in Kenya through Alikiba then Diamond revolutionised it. Before these two guys Bongo crap was Unknown in Kenya. We Only knew Genge,Reggae and Rhumba.

Apart from this Kenyan dude, are there any known Kenyan artists here in East Africa?
 
Akothee ni the best toka Kenya kuzidi hata huyo jamaa
Kama ingewezekana mchukueni Ali Kiba na Diamond mtupe Akothee
Akothee hawezi lolote. Hana talanta. Miguu kama viberiti.
 
Majority of Tanzanians don't know Kenyan artists. Sauti Sol band is known in West Africa I.e Nigeria. Search melanin on YouTube


It's because Tanzanians don't think Kenyans are talented as most of the known artists are foreigners i.e, Congolese and other parts, that's the problem.
 
Kila Kitu kina wakati wake, miaka ya nyuma kenya walikua vizuri Sana kimuziki kuliko Tanzania. Ila baada ya 2010 mziki wao umeshuka sana, sijui tatizo ni nini. Enzi za kina Amani, Nameless, Nonini, juakali, prezoo, wyre, nyota ndogo, Wahu, Naaziz, P unit n.k tulikua tunapenda sana mziki wao. Wabongo wengi walikua wakija Kenya kwa sababu ya jamaa wa Ogopa walikua juu sana.

Sauti Sol wanafanya vizuri Sana lakini sijawahi sikia wakifanya show Tanzania, shida nini?. Kwa sasa Sauti sol, khaligraph, Akothee, willy Paul ndio wanawika Tz.

Kwangu wimbo bora kabisa kutoka Kenya ni nasinzia wa Nameless, hii ngoma ilipendwa sana.
 
Akothee hawezi lolote. Hana talanta. Miguu kama viberiti.
katika mabinti wa kikenya huwezi kumuacha akothee haswa ile nyimbo aliyoimba na diamond ilikuwa juu sana yani kwa huku bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…