OUIJA BOARD: Mlango wa kimawasiliano kati ya ulimwengu wa kimwili na wa kiroho

OUIJA BOARD: Mlango wa kimawasiliano kati ya ulimwengu wa kimwili na wa kiroho

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
images.jpg

Kibao cha Ouija


Kwa kipindi cha karne na karne binadamu wamekuwa na shauku kubwa ya kuongea na wapendwa wao waliokufa au aina nyingine za roho.

Hali hiyo ilipelekea kuvumbuliwa kwa kibao (OUIJA Board) kilichosadikiwa kufanikisha miunganiko kati ya hizi pande mbili za kiulimwengu yaani ulimwengu wa kimwili na kiroho.

Kulingana na shuhuda mbalimbali zinaeleza kuwa pindi kibao hiki kitumikapo kuita roho hizi, ni hakika ishara na hata sauti za roho zilizoitwa husikika.

Lakini je, ni kweli mambo haya wasemayo hutokea au ni moja ya njia ubongo wa mwanadamu hutengeza namna na kumfanya mtu anayecheza Ouija kuhisi,kuona ama kusikia vitu visivyo vya kweli katika hali ya kawaida?
 
Niliangalia movie yake NETFLIX inatisha sana!
 
Back
Top Bottom