hehehe wenzio wote walioweka bifu na mimi wamekufa maskini. shauri yako lol
Yaani mimi nishakusoma Comrade, yaani nikitaka bifu na wewe najikumbushia hii " . . .WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.""
good move, thats y whenever i force my own self to hate u all i get is opposite and more of that opposite. damn! klorokwini damn me!Kufa ni kufa tu whether maskini au tajiri umekufa.......na kila mtu atakufa tofauti ni ya wakati tu........alikufa princess diana na utajiri wake mi maskini kufa kuna shida gani???😛opcorn:
Sipiyu(CPU) uliyosema ni sawa kama tungekua tunaongelea jinsi ya kuchukulia na kudeal na hizo dharau..swala ni kwanini inatokea!Sidhani kama mtu akinisalimia nikaanza kumwangalia juu chini kwa kumbeza au kumjibu vibaya nakuwa nimedhamiria kumchallenge!Hiyo ni dharau tu isiyo na faida hata kwangu..ntaishia tu kuonekana wa ajabu!
:drama::horn:
I concur.Gaga naomba nitofautiane na wewe kidogo...Nna kamsemo kangu kanasema "IF SOMEONE DOES YOU WRONG TAKE IT ON THEM NOT ON SOMEONE ELSE".Kwa hiyo kama mtu sijui kawa cheated au mtu mwingine kamboa huko hatakiwi wala haistahili kumwangushia hasira mtu ambae hajahusika!Nyumbani kwako mnunie mumeo kwa kukukasirisha ukitoka nje cheka na marafiki zako au atleast kua mpole tu badala ya kuwapa adhabu wasiyo stahili!Sio haki kukosewa na mtu fulani alafu umwadhibu mwingine!
:drama::horn:
Kabisa kaka, wadada especially wanaojifanya high maintenance ndio zao hizo.
hicho ndicho kigezo wanachotumia Lizzy...
Mdada atajipandisha na kujishusha kisha anampandisha na kumshusha mkaka na kufikia uamuzi kuwa ..haya ni maji marefu huyawezi!
Watu au wanawake kama hawa mara nyingi ukichunguza backgrounds zao utakuta wametoka kwenye umaskini wa kutupwa!
Unakumbuka wimbo wa Prof.J..Zali la mentali? J alipondwa na mdada wa uswazi choka mbaya...akaja kupendwa na nani??
Mhuuu!
Gaga naomba nitofautiane na wewe kidogo...Nna kamsemo kangu kanasema "IF SOMEONE DOES YOU WRONG TAKE IT ON THEM NOT ON SOMEONE ELSE".Kwa hiyo kama mtu sijui kawa cheated au mtu mwingine kamboa huko hatakiwi wala haistahili kumwangushia hasira mtu ambae hajahusika!Nyumbani kwako mnunie mumeo kwa kukukasirisha ukitoka nje cheka na marafiki zako au atleast kua mpole tu badala ya kuwapa adhabu wasiyo stahili!Sio haki kukosewa na mtu fulani alafu umwadhibu mwingine!
Ukishaona mtu anasema you are in my league au siendani na wewe... ujue ana inferiority complex au tu ni mshamba; kila mtu anaendana na kila mtu akiamua