Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Nyumbani ni shwari. Mnaweza kusikia mengi ya siasa kupitia magazetini, lakini mwaka huu ni mwaka wa siasa. Mtasikia mengi ya kisiasa, lakini msiwe na wasiwasi, nchi yetu ni shwari - Kikwete (akizungumza na wanafunzi wa kiTZ huko Uturuki)
Wakuu kuweni fair sometimes yaani nyinyi Rais asicheke asinune.Akisema tabu,akikaa kimya tabu.Duuh!
Wakuu kuweni fair sometimes yaani nyinyi Rais asicheke asinune.Akisema tabu,akikaa kimya tabu.Duuh!
Si hivyo p53 (by the way which tumour are you preventing? - inside joke)
Ni kwamba Rais ametuangusha wengi tuliokua na matumaini mengi kwake.
Hasa mimi. Mwanzoni alikua ananisisimua kwa ari yake. Sasa hivi, mh!
Mimi ninachosema ni hivi, kwa nini asiwe mkweli aawambie tu wananchi hali ya kisiasa ni hivi na vile, na sio kusema ni shwari wakati sote twajua sio. Hayo mambo ya "kila kitu shwari" ni ya kusema kwa watu wa nje, watoto wa nyumbani unawaambia ukweli bwana
Unafikiri kwanini kuna nchi zimeendelea mpaka kuweza kutulemaza sisi kwa kutegemea misaada yao? Unafikiri wananchi wao wana simile na viongozi?? Jinsi Waafrika tulivyo na tamaa na kujawa ujinga mwingi, tusipoamka sasa hivi na kuwakomalia hawa wanaochukua fomu na kuomba kutuongoza unafikiri tutafikia hata nusu ya matamanio yetu??
Pamoja na mafanikio yake ya kuhesabika kwenye baadhi ya mambo, ukweli unabakia palepale, Mh. Rais wetu ni bitoo fulani hivi na anapenda kukata mbuga kichizi, jambo ambalo si baya hata kidogo kwa mtu binafsi tu au mfanyabiashara fulani hivi. Ila tatizo na manung'uniko mengi yanatokana na cheo cha huyu ndugu yetu na mzazi; Ni Mh. Rais wa Jamhuri ya Tz! Tunamhitaji nyumbani. Sote tukiamua kukaa kimya, hachelewi kufunga safari za miezi 3 au 6 Thailand bila kugeuza home. oooh hoh!
Kweli mkuu ameangusha wengi na mimi ni mmojawapo niliyeweka matumaini mengi sana kwake.Lakini sasa mkuu naona kama yamezidi.Nisingependa kumtetea lakini ifike mahali tumpe pumzi kidogo na yeye hasa kwa mambo madogomadogo kama haya.Yaani seriously speaking Rais awaambie hao vijana wa Uturuki tulikuwa na mzozo kwenye CC au NEC,nchi yenu sasa hivi hali si shwari,inayumba,nusura wajumbe wakamatane mashati,tuna makundi CCM nk nk kwa mfano.Hivi kweli ina make sense hii wakuu?
Which tumor mi protecting??hahaha twende jf doctor tukakate madude mkuu!
Wakuu kuweni fair sometimes yaani nyinyi Rais asicheke asinune.Akisema tabu,akikaa kimya tabu.Duuh!
well.. akisema aseme mambo yenye mantiki akinunua anuniane na mkewe siyo na taifa, akicheka acheke kwenye vyenye kuchekesha... vinginevyo.. kama wanavyosema ukikaa kimya watu wanaweza kufikiria una hekima!
Wakuu kuweni fair sometimes yaani nyinyi Rais asicheke asinune.Akisema tabu,akikaa kimya tabu.Duuh!
Ndiyo mkuu nakubaliana nawe unaposema Mh.Rais apunguze safari zisizo za lazima ili ashughulikie matatizo ya nyumbani,kumbe siyo kwenda kutoa siri za vikao kwa vijana wa Uturuki![/QUOT
Hivi kazi ya Membe ni ipi exactly! In the last four years, Kikwete has made way more news in the International Scene than Membe...Jamaica and many others Membe could have easily handled...nini kimfukuzacho Raisi wetu??
Wewe umesahau? Mwenzio hata akimpa dogo peremende watu wanambebea bango.....either way, he's damned if he doesn't, he's damned if he does (whatever that may be)....it just comes/goes with the territory
Bado unatetea tu u-candyman, na wewe ulipewa pipi nini?