angalia Geof mtajakosana na Fidel bure maana mwenzio kashaanza kujipanga mashambulizi kwa semenya, unawezakuta kashanunua ile waliomshauri xpin kule inaitwaje tena....eeh ultra thin sijui.
[may be, who knows bana
Haya nitaamini kwenye kikao basi maana mmmh!
Mi bana wanawake iwa siwaamini kabisaaaaaaaa maana rafiki yangu alinipora n'chumba hivi hivi eti kwa vile rafiki yangu half cast aka mzungu pori nyie wanawake mnapenda sana wanaume weupe sijui wana radha tofauti?
ZD na Fidel80 KUNANI?
Mbona mi mweusi na mabinti wananishobokea kama kawa? Mpwa hebu fafanua kidogo hili.
Mtu na Shemejiye.
ZD na Fidel80 KUNANI?
haiwezekani!mbona wanabishana kimtindo mtindo!shemeji kuwa mwangalifu bwanaπ
haiwezekani!mbona wanabishana kimtindo mtindo!shemeji kuwa mwangalifu bwanaπ
Hahahaha mm nahoji maneno matamu hayo kwa Xpin yanatoka moyoni?
Hahahaha mm nahoji maneno matamu hayo kwa Xpin yanatoka moyoni?
hehehe!Kwanini unayatilia mashaka?
Kwanini unayatilia mashaka?
Nilikuwa na mchumba angu sasa nilienda kumtembelea na kumtoa out tulikuwa wote na best angu white ni mzungu pori half cast basi kile kicheche kikamshobokea mzungu pori yaani ilikuwa balaa ikabidi nimwachie jamaa amege.
Hahahaha mm nahoji maneno matamu hayo kwa Xpin yanatoka moyoni?
Hajiamini amini uwanja wako j2 mpwa
Nakuhakikishia yanatoka deep inside my heart.
Chrispin mpenzi,nafikiri huu wasiwasi wa Fidel ni kwa sababu hatukutangaza matokeo ya zile kura zetu.Si unakumbuka Fidel80 naye ulimchagua kuwa shahidi?
Carmel,hii off topic ya mwisho.ntarudi kwenye mada nilikuwa naweka mambo sawa kwa shemeji Fidel.