Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Hahaha! Mpwa bana! Mbona amekuwa straight forward? Utakuwa bestman wangu na Carmel atakuwa matron kwenye harusi yetu.
ZD,
i can see you are MADLY IN LOVE!lol,
Nakuhakikishia yanatoka deep inside my heart.
Chrispin mpenzi,nafikiri huu wasiwasi wa Fidel ni kwa sababu hatukutangaza matokeo ya zile kura zetu.Si unakumbuka Fidel80 naye ulimchagua kuwa shahidi?
Carmel,hii off topic ya mwisho.ntarudi kwenye mada nilikuwa naweka mambo sawa kwa shemeji Fidel.
hapa mimi ndo ninapopataka!Jamani ananiambia sijiamini kwa penzi lako? mbona nimeweka mambo wazi kabisa? mimi naomba anifafanulie anamaanisha nini.
ZD,unakunywa bia gani???????????!
MUHUDUMU.........!?leta serengeti kwa mrembo hapa,kaongea point kweli kweliπ
hapa mimi ndo ninapopataka!
ZD,unakunywa bia gani???????????!
MUHUDUMU.........!?leta serengeti kwa mrembo hapa,kaongea point kweli kweliπ
umejuaje?πhatumii mapepo huyu
umejuaje?π
Bwashee bana. Mchumbangu wala hatumii kileo. Hata mi huwa ananishaurigi sana niachane na serengeti. Ni haka kakiburi kangu tu.
umejuaje?π
Fuatilia post za huko nyuma amewahi weka wazi kuwa hatumii kilevi chochote teh teh teh
Fuatilia post za huko nyuma amewahi weka wazi kuwa hatumii kilevi chochote teh teh teh
hata mimi shemeji linaniumiza kichwa!hasa nikikumbuka hali niliyokuwa nayo jana!Ahaaa! Mi nilistuka ulivosema hatumii mapepo! Kwahiyo kwa ZD bia ni mapepo au hatumii tu kwa kuwa hatumii? Ufafanuzi tafadhali. Moyo unanienda mbio kwa wivu ujue.
Ahaaa! Mi nilistuka ulivosema hatumii mapepo! Kwahiyo kwa ZD bia ni mapepo au hatumii tu kwa kuwa hatumii? Ufafanuzi tafadhali. Moyo unanienda mbio kwa wivu ujue.
hata mimi shemeji linaniumiza kichwa!hasa nikikumbuka hali niliyokuwa nayo jana!
Kila siku unanikataza kutoa siri za ndani,na wewe umeanza? Fidel80 anataka kukurusha roho tu.Unanijua vizuri kuliko yeyote yule.
mchumba yupo bana!shemeji punguza munkari!ZD yupo smart.jina lake tu linazungumza!(hapa ZD lazima atakiangalia kitufe cha senksiπ)Afu kinachoniuma zaidi na mchumba naye kasepa! Lol! Mbona wataniua kwa presha hawa watu?
Now I propose outing ya mimi,My LOVE, wewe shem,Fidel80 na wapwa wengine close ili Fidel aelezee anayosema.hata mimi shemeji linaniumiza kichwa!hasa nikikumbuka hali niliyokuwa nayo jana!
i am am dying to see this movie LIVE!πNow I propose outing ya mimi,My LOVE, wewe shem,Fidel80 na wapwa wengine close ili Fidel aelezee anayosema.