Hii concept ya GezaUlole ya kutetea sana taifa la TZ na ya MK254 kutetea taifa la Kenya ni ya ajabu sana....
Inakua kama ugomvi....
Wakuu hizi makitu ni mipaka imewekwa na wanadamu tena wanasiasa.Kwetu ni ajabu zaidi maana mkoloni ndio alikua anapita na panga anakata miti na kuchomeka vijiti na kusema hapa Kongo pale KE pale TZ,etc..
Na concept ya utaifa ni ya kipumbavu sana mwanadamu unapokua confined on stupid geographical boundaries na maneno ya kisiasa na upumbavu mwingine mwingiii sana...
Siasa ina-demand ultimate loyality kwa hicho kitu kinachoitwa taifa....the fun thing is in 1milion years back or to come there will never be something called TZ au KE,there will be some other things!What the fu.ck should I die or kill or insult my fellow human being sababu to ya geographical locations?
Even crazier GezaUlole unawezakua na 90% Kenyan DNA composition na huyo bwana MK254 akawa na TZ DNA...ila because Uhuru kasema chukia TZ basi unachukia wanadamu wenzio...
This is mind boggling stupidity!