Kwa miaka ya hivi karibuni Yanga wamekuwa wakiingia kwenye hizi mechi za watani wakiwa underdog. Hiyo inasemwa kuwa ilichanjia wao kupambana sana na hata kupata matokeo mazuri (kutofungwa) kwa karibu misimu mitatu.
Hata hivyo, hali imebadilika sana. Yanga wanajiona wana timu yenye ushindani na wameanza kujiamini sana. Kwa mtazamo wangu, hali hii ya kujiamini sana inaweza kuwaponza ktk mechi ya kesho dhidi ya Simba (anayetaka japo kuwapoza mashabiki wake kufuatia machungu wanayopitia).
Mwenzangu unaonaje?
Hata hivyo, hali imebadilika sana. Yanga wanajiona wana timu yenye ushindani na wameanza kujiamini sana. Kwa mtazamo wangu, hali hii ya kujiamini sana inaweza kuwaponza ktk mechi ya kesho dhidi ya Simba (anayetaka japo kuwapoza mashabiki wake kufuatia machungu wanayopitia).
Mwenzangu unaonaje?