Surgical Blade
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 349
- 16
kwa jinsi #OXFORD wanavyozdi kutawala Soko la Vitabu,
O-level Wanazid kuumia hasa #KATA , kama ifuatavyo
1. vitabu vya O-level kutengenezwa na #wazungu , yaani wao wamekuwa wakifananisha usomaji wa watoto wao na watoto wetu, Jaman michoro #Illustration imekuwa ikipigwa Picha Na kufanyiwa scanning,
michoro imekuwa katika mfumo Wa 3D, ambayo mtoto akiambiwa achore, kufanya imagenation inakuwa kaz, mana kwenye kitabu mchoro ulipigwa picha kwamba, huu ni mchoro wa moyo, (umechorwa marang kibao na midamu damu)
wakat 2kitumia mfumo we2 ule wa vitabu vya TAI, picha ni 2D Katika #Black and White, #TAI wameenda wapi.
2. Vitabu kujazwa ma practical activities, yasiyo na maana kama shule zakata, wana laboratory za kucheza cheza, wakati watoto, practicals wanafanya form four, ili wasisahau.
3. Vitabu kujazwa mi, maswali ambayo, mwanafunzi peke yake hawez, kujipma, yaan majibu, yanakwepo ktk vitabu vya kufundishia walimu,
hal ambayo humpa tabu mwanafunz kama mwalm wa somo hlo hayupo, au kutokuwa na maelewano mazuri baina yake na mwalimu.
MAONI YANGU,
1. Viwepo vitabu vijulikanavyo kutumika, na shule zote Tanzania.
2. Syllabus zilizotolewa kwenye mfumo na zilzopo Zijulikane kwa wanafunz, sio wanafunz wajitese kusoma, vitu visivyokuwepo.
Maoni tu kwa BIG RESULTS
sijui uonavyo wewe?
O-level Wanazid kuumia hasa #KATA , kama ifuatavyo
1. vitabu vya O-level kutengenezwa na #wazungu , yaani wao wamekuwa wakifananisha usomaji wa watoto wao na watoto wetu, Jaman michoro #Illustration imekuwa ikipigwa Picha Na kufanyiwa scanning,
michoro imekuwa katika mfumo Wa 3D, ambayo mtoto akiambiwa achore, kufanya imagenation inakuwa kaz, mana kwenye kitabu mchoro ulipigwa picha kwamba, huu ni mchoro wa moyo, (umechorwa marang kibao na midamu damu)
wakat 2kitumia mfumo we2 ule wa vitabu vya TAI, picha ni 2D Katika #Black and White, #TAI wameenda wapi.
2. Vitabu kujazwa ma practical activities, yasiyo na maana kama shule zakata, wana laboratory za kucheza cheza, wakati watoto, practicals wanafanya form four, ili wasisahau.
3. Vitabu kujazwa mi, maswali ambayo, mwanafunzi peke yake hawez, kujipma, yaan majibu, yanakwepo ktk vitabu vya kufundishia walimu,
hal ambayo humpa tabu mwanafunz kama mwalm wa somo hlo hayupo, au kutokuwa na maelewano mazuri baina yake na mwalimu.
MAONI YANGU,
1. Viwepo vitabu vijulikanavyo kutumika, na shule zote Tanzania.
2. Syllabus zilizotolewa kwenye mfumo na zilzopo Zijulikane kwa wanafunz, sio wanafunz wajitese kusoma, vitu visivyokuwepo.
Maoni tu kwa BIG RESULTS
sijui uonavyo wewe?