Nianze kwa kuwauliza wanajanvi, ni asilimia ngapi ya pato lako halisi hukatwa kama kodi kupitia mfumo wa lipa kwa kadri ya upokeavyo (PAYE)?
Waziri Kombani kaueleza umma bungeni hivi punde kuwa Serikali ilisikiliza maombi ya vyama vya wafanyakazi vya kupunguza tozo la kodi ya mapato ambalo lilikuwa ni kubwa mno kwa wananchi (18%) na kuridhia kuridhia kushusha hadi kufikia 12% na bado wanaendelea kupunguza hadi iweze kufikia 9%. Swali langu hapa, je! maelezo ya waziri kombani ni sahihi!?
Jibu ni HAPANA, Serikali inayosema kuwa kodi ya mapato ni 12% inawakata wananchi wake zaidi ya asilimia 18 za mapato yao kama kodi.
Kwa mfano, mtu anayepata ujira wa Tshs 1,000,000/= anakatwa Tshs 189,700/= kama kodi kwa Tanzania bara kiasi ambacho ni asilimia 18.97 ya kipato cha mtu huyo, na kiasi cha Tshs 200,250/= kama kodi kwa Zanzibar ambacho ni asilimia 20.025 ya pato mtu husika.
Kama kweli Serikali inasema kuwa kiwango cha kodi (PAYE) ni 12% na ambayo kwa bajeti ya sasa imepunguzwa kwa 1% ambayo itaifanya kuwa 11%, kwa nini basi wanawakata wafanyakazi wake 18.97% kwa Bara na 20.025% kwa Zanzibar!?
Ndo maana nikasema, katika hili Waziri Kombani kawadanya wananchi!
Waziri Kombani kaueleza umma bungeni hivi punde kuwa Serikali ilisikiliza maombi ya vyama vya wafanyakazi vya kupunguza tozo la kodi ya mapato ambalo lilikuwa ni kubwa mno kwa wananchi (18%) na kuridhia kuridhia kushusha hadi kufikia 12% na bado wanaendelea kupunguza hadi iweze kufikia 9%. Swali langu hapa, je! maelezo ya waziri kombani ni sahihi!?
Jibu ni HAPANA, Serikali inayosema kuwa kodi ya mapato ni 12% inawakata wananchi wake zaidi ya asilimia 18 za mapato yao kama kodi.
Kwa mfano, mtu anayepata ujira wa Tshs 1,000,000/= anakatwa Tshs 189,700/= kama kodi kwa Tanzania bara kiasi ambacho ni asilimia 18.97 ya kipato cha mtu huyo, na kiasi cha Tshs 200,250/= kama kodi kwa Zanzibar ambacho ni asilimia 20.025 ya pato mtu husika.
Kama kweli Serikali inasema kuwa kiwango cha kodi (PAYE) ni 12% na ambayo kwa bajeti ya sasa imepunguzwa kwa 1% ambayo itaifanya kuwa 11%, kwa nini basi wanawakata wafanyakazi wake 18.97% kwa Bara na 20.025% kwa Zanzibar!?
Ndo maana nikasema, katika hili Waziri Kombani kawadanya wananchi!