P. Diddy amezidiwa utajiri na Jay Z

P. Diddy amezidiwa utajiri na Jay Z

Bakalalwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
748
Reaction score
1,217
P Diddy Amezidiwa Utajiri Na Jay Z Lakini Tunaambiwa Ili Wasanii Wawe Matajiri Lazima Waende Kwake, Lakini Pia P Diddy Amezidiwa Tuzo Za Grammy Na Jay Z 24 Kwa 3 Lakini Tunaambiwa Ili Wasanii Washinde Grammy Lazima Waende Kwa P Diddy 😂😂😂😂 Au Ndio Mganga Hajigangi 😂😂😂
1731266226156.jpg
 
inasemekana…Puff diddy kapita hadi na Beyonce….😂😂😂
 
Hata historia zao hazifani, wakati Jiga anafanya hustling Diddy alikuwa dancer kama Moze Iyobo
Wakatì Jiga underground Diddy alikuwa akimiliki Bad Boy record label akiwamiliki Notorious BIG,Nas, Faith Evans na wasanii wengine kibao.
New Yorkers wanaamini BIG na PAC wangekuwa bado wako hai basi Jiga angezeeka akiwa ni underground.
Pesa ni hustles na timing, Kanye alishawazidi wote kwa mbali lakini kisanaa amekuzwa na kulelewa na Jiga ila utaahira wake na ujuaji mwingi akijiharibia kwa sponsors na business partners wakamtema na figures zikashuka drastically. Wote Jiga na Diddy mwanzoni waliishi kwa kutegemea sanaa lakini utajiri wao unatokana na business ventures hivyo hapo mwenye timing kali zaidi ndiyo anapaa zaidi.
 
Acha uongo.

Google ni bure mtu wangu, acha kuita watu waongo wakati ukweli uko nao kiganjani. Diddy alianza kama backdancer wa Heavy D. Mpaka leo anaonekana kwenye baadhi ya videos za wanamuziki wengine kama Moze Iyobo tu
 
Wakatì Jiga underground Diddy alikuwa akimiliki Bad Boy record label akiwamiliki Notorious BIG,Nas, Faith Evans na wasanii wengine kibao.
New Yorkers wanaamini BIG na PAC wangekuwa bado wako hai basi Jiga angezeeka akiwa ni underground.
Pesa ni hustles na timing, Kanye alishawazidi wote kwa mbali lakini kisanaa amekuzwa na kulelewa na Jiga ila utaahira wake na ujuaji mwingi akijiharibia kwa sponsors na business partners wakamtema na figures zikashuka drastically. Wote Jiga na Diddy mwanzoni waliishi kwa kutegemea sanaa lakini utajiri wao unatokana na business ventures hivyo hapo mwenye timing kali zaidi ndiyo anapaa zaidi.

Nasema kipindi Jiga anafanya hustling, Diddy alikuwa Dancer labda hujaelewa. Wakati hawajatoka, Jay alikuwa anawabana New York na Diddy analikuwa dancer. Ukiongea kuhusu Bad Boy, hiyo ni kesi nyingine, kwasababu hiyo label iko na full of scandals and tragedies, wakati Rocker Fella produced billionaires kama Kanye na Riri, labda tuache tu
 
Soddy record labels zake na Baathist ya kampuni zake zinging zina affiliation na Grammy
 
P Diddy Amezidiwa Utajiri Na Jay Z Lakini Tunaambiwa Ili Wasanii Wawe Matajiri Lazima Waende Kwake, Lakini Pia P Diddy Amezidiwa Tuzo Za Grammy Na Jay Z 24 Kwa 3 Lakini Tunaambiwa Ili Wasanii Washinde Grammy Lazima Waende Kwa P Diddy 😂😂😂😂 Au Ndio Mganga Hajigangi 😂😂😂View attachment 3148960

Devil worshippers! all
 
Back
Top Bottom