Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Na wewe ni nani yake P diddy maana umeandika kwa uchungu sana?"P DIDDY" ni kama alijua kitakacho tokeaView attachment 3112971 mali zote ziliandikwa kwa jina la #mama yake hakuna mali yake iliyo kwenye jina lake
Mali zote ziko katika jina la mama yake na mtoto wake, hata wamshitaki mpaka ufalme wake uanguke hakuna mtu atakayepata senti kutoka kwake
Utajiri wake wa kizazi umehifadhiwa Kwa akili sana kupitia jina la mama yake na watoto. Hata iweje hawawezi kugusa pesa au kampuni yake yoyote
Sakata la "P DIDDY" mpaka sasa haliwezi kuathiri familia yake hata kidogo kwasababu ataacha utajiri mkubwa sana katika familia
Umejifunza Nini kutokana na Kisa cha huyu mwamba ?
Hakimi kijana wa Allah muislamu pekee mstaarabu Mungu ambariki."P DIDDY" ni kama alijua kitakacho tokeaView attachment 3112971 mali zote ziliandikwa kwa jina la #mama yake hakuna mali yake iliyo kwenye jina lake
Mali zote ziko katika jina la mama yake na mtoto wake, hata wamshitaki mpaka ufalme wake uanguke hakuna mtu atakayepata senti kutoka kwake
Utajiri wake wa kizazi umehifadhiwa Kwa akili sana kupitia jina la mama yake na watoto. Hata iweje hawawezi kugusa pesa au kampuni yake yoyote
Sakata la "P DIDDY" mpaka sasa haliwezi kuathiri familia yake hata kidogo kwasababu ataacha utajiri mkubwa sana katika familia
Umejifunza Nini kutokana na Kisa cha huyu mwamba ?
Umeona eeeh😂😂Ukiwa mafia uwe na akili
Mchuma janga hula na wa kwaoBora watoto wasidhalilike aisee
Mwafrica mwenzie mana sisi sote ni nduguNa wewe ni nani yake P diddy maana umeandika kwa uchungu sana?