Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
NAJILIPUA
NI kweli ni trend- setter na alitengeneza top ten lakini kwa upande wangu, midundo mitano ninayoielewa zaidi kutoka kwake ni hii;
1. MTOTO WA KIUME - GEEZ MABOVU
Dundo linaanza, landlover linatekenywa kisha dundo linaanza taratibu na ule msauti mzito wa Geez na vile anavyopita kama hataki, basi kwangu ni burudani tosha.
Jumlisha na namna mtoto wa kiume alivyochorwa humo, siyo watoto wa kiume wa "sponsor niachie my wangu"
2. MOTO WA TIPA - ZOLA D
Unde mzee wa ngumi kila sekunde alipita sana humu, ubabe mwingi na tambo za kutosha. Akiwasha Nani wa kuzima? Labda apande pipa.
Bonge la dundo lilikutana na bonge la voko.
3. MSTARI WA MBELE - KALA PINA
Ile intro kwanza; " mananta! Mananta! Man shmuka! Kuna Kiarabu hapo na Masoud anaappreciate kwamba ni bonge la beat.
Tambo na punches kibao halafu tofauti na ngoma zilivyozoeleka, hii ina transition ya beat na Pina anaswitch flow Kisha inaingia Chorus
Kuna Ile outro sasa, sauti ya mkwaruzo ya Pina, halafu anabadili sauti na kusema " ee bwana noma" na ilikuwa noma kweli.
4. TUNASONGA - PINA NA DOGO
Bonge la majibizano humo kutoka kwa wana Kikosi.
Pina anasema hili beat halikufanyiwa mixing wala mastering, P akawazingua, wakainyonya kwenye CD na kwenda kuitambulisha redioni mpaka kusambaa mtaa.
Pata picha ingekamilika ingekuwaje?
5. RATIBA ZETU- SNA LEE FT NGWEA
P alitengeneza beats nyingi sana za kuruka kwanja lakini kwangu hii ni bora zaidi.
Snoop Lee sasa alivyoichambua wiki nzima humo. NI LAANA
BONUS;
PEKE YANGU - ADILI
HAWATUWEZI - N2N FT ENIKAH
NINI MNATAKA - PIG BLACK
NIPE TOP FIVE YAKO KUTOKA KWA P.
NI kweli ni trend- setter na alitengeneza top ten lakini kwa upande wangu, midundo mitano ninayoielewa zaidi kutoka kwake ni hii;
1. MTOTO WA KIUME - GEEZ MABOVU
Dundo linaanza, landlover linatekenywa kisha dundo linaanza taratibu na ule msauti mzito wa Geez na vile anavyopita kama hataki, basi kwangu ni burudani tosha.
Jumlisha na namna mtoto wa kiume alivyochorwa humo, siyo watoto wa kiume wa "sponsor niachie my wangu"
2. MOTO WA TIPA - ZOLA D
Unde mzee wa ngumi kila sekunde alipita sana humu, ubabe mwingi na tambo za kutosha. Akiwasha Nani wa kuzima? Labda apande pipa.
Bonge la dundo lilikutana na bonge la voko.
3. MSTARI WA MBELE - KALA PINA
Ile intro kwanza; " mananta! Mananta! Man shmuka! Kuna Kiarabu hapo na Masoud anaappreciate kwamba ni bonge la beat.
Tambo na punches kibao halafu tofauti na ngoma zilivyozoeleka, hii ina transition ya beat na Pina anaswitch flow Kisha inaingia Chorus
Kuna Ile outro sasa, sauti ya mkwaruzo ya Pina, halafu anabadili sauti na kusema " ee bwana noma" na ilikuwa noma kweli.
4. TUNASONGA - PINA NA DOGO
Bonge la majibizano humo kutoka kwa wana Kikosi.
Pina anasema hili beat halikufanyiwa mixing wala mastering, P akawazingua, wakainyonya kwenye CD na kwenda kuitambulisha redioni mpaka kusambaa mtaa.
Pata picha ingekamilika ingekuwaje?
5. RATIBA ZETU- SNA LEE FT NGWEA
P alitengeneza beats nyingi sana za kuruka kwanja lakini kwangu hii ni bora zaidi.
Snoop Lee sasa alivyoichambua wiki nzima humo. NI LAANA
BONUS;
PEKE YANGU - ADILI
HAWATUWEZI - N2N FT ENIKAH
NINI MNATAKA - PIG BLACK
NIPE TOP FIVE YAKO KUTOKA KWA P.