Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Majani naona sometimes kama vitu vyake haplan Vizuri.
Nakumbuka wakati anatangaza kurudi akiwa na Q ,kazi yao ya kwanza ilikuwa CNN ya Ngwair baadaye akapotea na Q naye sijui yupo wapi.
Mara ya pili akaja na projects ya bongolo hivyo hiyo akapotea.
Sasa hivi karudi tena sasa sijajua ana plan gani safari hii,ngoja tuone.
hiyo video kila kitu kafanya p mwenyeweAliyefanya Video, Color Collection na Grading salute! Amemaliza. Next time nipatie gigs Paul Matthysse.
hiyo video ni kazi ya majani mwenyeweMajani naona mpunga wa Hollywood kaamua kuwekeza zaidi kwenye vifaa vya video na audio,2020 atawasumbua,japo hip pop imeuliwa mainstream, tumeambukizwa wabana pua wanaoimba matusi ya ngono na kutaja taja majina ya wanawake!!
Thats true..Ukimsikiliza akiongea mipango yake utajua kbs jamaa ana kitu kichwani lkn utekelezaji ndio shida.. the guy need a serious management i think !! .. anaujua mziki na anajua alipojikwaa akubali kuongozwa tu sasa kwenye baadhi ya maeneo hawezi fanya kila kitu mwenyewe
Majani atulie tu atafute producer mwingine awe anampa maufundi kutengeneza beats, yeye kichwa kishachoka, time yake ilishapita, asilazimishe, amcheck Master J kawaachia vijana ZaChar yeye anafanya issue nyingine.Majani naona sometimes kama vitu vyake haplan Vizuri.
Nakumbuka wakati anatangaza kurudi akiwa na Q ,kazi yao ya kwanza ilikuwa CNN ya Ngwair baadaye akapotea na Q naye sijui yupo wapi.
Mara ya pili akaja na projects ya bongolo hivyo hiyo akapotea.
Sasa hivi karudi tena sasa sijajua ana plan gani safari hii,ngoja tuone.
Aisee Salute! Kwake,hiyo video kila kitu kafanya p mwenyewe
Ngoma kali.....
Wale wazee wa tetemaa kingwaru wavaa vikuku mguuni wabana pua hawawezi kuelewa ngoma hii
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshirikiana na Karabani!hiyo video kila kitu kafanya p mwenyewe