P g d e......

NYAGI DRY

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
379
Reaction score
165
Habari za mihangaiko ya kila siku...mimi nina degree ya sociology..mwaka wa 3 natafta kazi sijapata na nimeamua kujiajiri kimtindo japo mambo yana enda kwa kusua sua..sasa nilikua naplan za za kusoma pgde..je nawza pata kazi serikalini na kupangiwa kituo cha kazi as normal teacher? Mliokwisha fanikiwa mnaweza kuni update..ilikama haiwezekan nijue ili niangalie ustarabu mwingine nisije nikaingia chaka kijana wawatu...
 
Nyie si ndo wkt mko chuo mlikua mnawacheka walimu?....ukitaka kua mwalimu rudi shule ukasome tena bachelor ya miaka mitatu.
 
Nyie si ndo wkt mko chuo mlikua mnawacheka walimu?..... ukitaka kua mwalimu rudi shule ukasome tena bachelor ya miaka mitatu.


:smile-big::bange:😎 We utaku mwalimu tena mwalimu mla ndumu.
:focus:
Inawezekana ila sio ktk teaching level. Btw kama unapenda kufundisha apply kwenye private schools.
 
:smile-big::bange:😎 We utaku mwalimu tena mwalimu mla ndumu.
:focus:
Inawezekana ila sio ktk teaching level. Btw kama unapenda kufundisha apply kwenye private schools.

mimi co mwalimu wala mla ndumu kama unavofikiria..ila huku vyuon tunaona jinsi gani hawa watu ambao wanasoma kozi tofauti na walimu wanavojidai babu kubwa,kumbe mtaani ni chenga tu!
 
Pole sana mkuu,hilo linawezekana usikate tamaa.Najua uko katika hali gani.
 
nenda kasome pgde utapata kazi serikalini.hata sasa waweza kuomba kazi na ukapangiwa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…