P kagame na Filipe J Nyusi

P kagame na Filipe J Nyusi

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,717
Reaction score
13,176
Rais wa Rwanda Leo ni mgeni rasmi kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 57 ya jeshi la Msumbiji (FADM)
Ikumbukwe kuwa jeshi la Rwanda ndio linalopewa kila aina ya sifa kwenye mapigano ya kuwakimbiza magaidi jimboni Cabo Delgado na jeshi la SADC linaonekana Kama nyoka wa kibisa na halina mpango wowote lipolipo na kujitia aibu mpaka raia wa Botswana kuuliza kuwa wanajeshi wao wameenda likizo nchini Msumbiji au wameenda kupigana!?.
Toka jeshi la Rwanda limeingia nchini Msumbiji kuna mwandishi wa habari wa kinyarwanda katekwa na watu wasiojulikana na Rais wa wakimbizi wakinyarwanda waishio nchini Msumbiji ameuawa kinyama Kwa kupigwa risasi kwenye makazi yake pale Liberdade,Matola. Maputo
Ukaribu huu wa kagame na nyusi sijui nini kitatokea huko mbeleni!
Nalog off
 
Rais wa Rwanda Leo ni mgeni rasmi kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 57 ya jeshi la Msumbiji (FADM)
Ikumbukwe kuwa jeshi la Rwanda ndio linalopewa kila aina ya sifa kwenye mapigano ya kuwakimbiza magaidi jimboni Cabo Delgado na jeshi la SADC linaonekana Kama nyoka wa kibisa na halina mpango wowote lipolipo na kujitia aibu mpaka raia wa Botswana kuuliza kuwa wanajeshi wao wameenda likizo nchini Msumbiji au wameenda kupigana!?.
Toka jeshi la Rwanda limeingia nchini Msumbiji kuna mwandishi wa habari wa kinyarwanda katekwa na watu wasiojulikana na Rais wa wakimbizi wakinyarwanda waishio nchini Msumbiji ameuawa kinyama Kwa kupigwa risasi kwenye makazi yake pale Liberdade,Matola. Maputo
Ukaribu huu wa kagame na nyusi sijui nini kitatokea huko mbeleni!
Nalog off
Mwandishi wa habari kuhusu mauaji ya Kimbari aliuawa Bukoba port. Aliitwa Kabendani Shinani. Ni wa BBC
 
Mwandishi wa habari kuhusu mauaji ya Kimbari aliuawa Bukoba port. Aliitwa Kabendani Shinani. Ni wa BBC
Pole nyingi Kwa familia ya marehemu.
Revocant Karemangingo ambaye alikuwa vice president wa umoja wa wakimbizi wa Rwanda waishio Msumbiji,aliuawa Kwa kupigwa risasi 13/9/2021 na watu wasiojulikana .
Nalog off
 
Back
Top Bottom