Nili-resit form 4 kwa hiyo nina namba ya S na P. Profileyangu ya HESLB inasoma S. NACTE, TCU na chuo inasoma P. HESLB nimeona nimekosamkopo, reason: NOT applied the loan. Je ni appeal au nikipiga simu tu inatosha,zingatia pia nimamaliza diploma 2011, Naomba ushauri.