P2 dawa za kuzuia mimba ndani ya masaa 72

P2 dawa za kuzuia mimba ndani ya masaa 72

Qute cherry

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
294
Reaction score
136
habari wana JF doctor, naomba kujulishwa na wataalam wa hapa kuhusu P2 dawa inayotumika ndani ya masaa 72 iwapo umefanya unprotected sex siku za ovulation,je hii dawa ikitumika wakati tayari una mimba(ila ulikunywa hukujua kama tayari una mimba) ina madhara yeyote kwa kiumbe tumboni????, naomba kujulishwa,asanteni
 
unafikiri ina madhara....? hebu angalia description yake....
 
Back
Top Bottom