Paa za kujificha na Paa za kuonekana

Paa za kujificha na Paa za kuonekana

Paa za kujificha ni Bei rahisi zinachukua mbao chache na bati chache ila wengi wa Nalalamika ziwahi kuanza kuvujisha maji mapema usipopata fundi mzuri, Paa za kawaida ni ghali sababu zinakula mbao nyingi na bati nyingi ila zikiwekwa Sawa Sawa zinadumu
 
Eti unakuta bongo mtu anajenga paa la kujificha watu hawajui hata maana.
Paa la kujificha ni Maalumu kwa nchi za jangwani zisizo na miti zenye upepo mkali ile gema la juu ndio uzuia nyumba isiezuliwe na upepo maana kule ukijenga paa za kuonekana zinabebwa na upepo.
Sehemu za joto zisizo na upepo paa sahihi ni ya kuonekana sababu inasadia kupooza nyumba joto kwa sababu ya uwepo wa nafasi kubwa kati ya paa na selling.
Hizi za kujificha na mafundi wetu,plus bati na mbao visivyo na ubora tegemea kuzeeka mara mbili.
 
Ndio gharama yenyewe. Usifananishe mmiliki wa ghorofa na nyumba ya kawaida

Kama mtu anataka kuokoa may be mil 3 hadi 5 kwa kujenga nyumba iliyofichwa paa jee ataweza kuhudumia kuta za hiyo nyumba?

That was my concern
Sidhani kama hizo paa ni cheap kama wengi mnavyozitafsiri.
Wengi hudhani ni cheap na matokeo yake ni vilio.
Huo ujenzi una gharama kubwa na kama ni kuokoa mbao basi tofauti yake ni kidogo mno.
 
Paa za kujificha ni Bei rahisi zinachukua mbao chache na bati chache ila wengi wa Nalalamika ziwahi kuanza kuvujisha maji mapema usipopata fundi mzuri, Paa za kawaida ni ghali sababu zinakula mbao nyingi na bati nyingi ila zikiwekwa Sawa Sawa zinadumu
.
 
Eti unakuta bongo mtu anajenga paa la kujificha watu hawajui hata maana.
Paa la kujificha ni Maalumu kwa nchi za jangwani zisizo na miti zenye upepo mkali ile gema la juu ndio uzuia nyumba isiezuliwe na upepo maana kule ukijenga paa za kuonekana zinabebwa na upepo.
Sehemu za joto zisizo na upepo paa sahihi ni ya kuonekana sababu inasadia kupooza nyumba joto kwa sababu ya uwepo wa nafasi kubwa kati ya paa na selling.
Hizi za kujificha na mafundi wetu,plus bati na mbao visivyo na ubora tegemea kuzeeka mara mbili.
Kwanza mababu zetu waliishi mapangoni na misituni.
Unakuta mtu ananunua gari wakati huku hatuchimbi mafuta.
 
Eti unakuta bongo mtu anajenga paa la kujificha watu hawajui hata maana.
Paa la kujificha ni Maalumu kwa nchi za jangwani zisizo na miti zenye upepo mkali ile gema la juu ndio uzuia nyumba isiezuliwe na upepo maana kule ukijenga paa za kuonekana zinabebwa na upepo.
Sehemu za joto zisizo na upepo paa sahihi ni ya kuonekana sababu inasadia kupooza nyumba joto kwa sababu ya uwepo wa nafasi kubwa kati ya paa na selling.
Hizi za kujificha na mafundi wetu,plus bati na mbao visivyo na ubora tegemea kuzeeka mara mbili.
Kuna ndugu yangu amejenaga hizo paa za kujificha aisehh hilo joto lake na kajengea dar ,ilibidi afumue kidogo gymsum bodi vyumbani ili joto ilisiwe kali maana usiku hulali kwa joto
 
Me nimeezeka nyumbani yangu kwa mtindo huu, ila zile mvua za Masika nyumba ikaanza kuvuja kidogo.

Niko natafuta fundi mzuri akafanye marekebisho.

Ingawa nimeambiwa kuna materials ziko Nabaki Afrika zinaweza kunisaidia kuzuia hilo tatizo.
 
Aah, kamamake walai. Nyumba ni paa la namna hii (sijatukana)
images (69).jpeg
images (70).jpeg
images (68).jpeg
 
Back
Top Bottom