demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Simba imemtangaza Pablo Franco (41) kuwa Kocha Mkuu mpya akichukua nafasi iliyoachwa na Didier Gomes Da Rosa
Kocha huyo alikuwa anainoa Al Quadsia ya Kuwait. Pia amewahi kuzinoa Fuenlabrada, Getafe na amewahi kuwa Kocha Msaidizi Real Madrid.
Swali Je Ana uzoefu upi wa Soka la Kiafrika?
CV yake inaonyesha hajawahi kufundisha barani Afrika. Changamoto za soka la kiafrika anazitambua.
Hapa naona Simba wamejipiga na kitu kizito kingine.
Kocha huyo alikuwa anainoa Al Quadsia ya Kuwait. Pia amewahi kuzinoa Fuenlabrada, Getafe na amewahi kuwa Kocha Msaidizi Real Madrid.
Swali Je Ana uzoefu upi wa Soka la Kiafrika?
CV yake inaonyesha hajawahi kufundisha barani Afrika. Changamoto za soka la kiafrika anazitambua.
Hapa naona Simba wamejipiga na kitu kizito kingine.