Mzee Simba haina malengo ya kucheza Na wala haichezi soka la kiafrika la kubutua butua... inacheza soka la kisasa kama team za north Afrika i.e Algeria, Misri nk. Ambao wanafata soka la UlayaUnanikumbusha wale Waspain wa Azam FC.
Waliletwa ili kubadili falsafa ya mpira wa Azam FC.
Mwisho wa siku experience ya soka la kiafrika na tamaduni zake zikawafanya washindwe kazi.
Safi sana..Haya ndo majibu tunataka yaani, Kwa vile mambo ni mengi nilitamani aletwe Antonio Conte Simba SC.Acha kukariri matola yupo na wazee wa ndumba wapo,soka la afrika wanacheza wachezaji 30 au mipira inakuwa miwili uwanjani
Hatuokoti makocha km.nyie. mnatuletea mara mwinyi zahera mara yule alowaita manyani mara kazeni mara heeeehhh tulia Nyani ndio kwanza kunapambazukaHamna kitu hapa... Polen wana Simba wenzangu.
Au zidaneSafi sana..Haya ndo majibu tunataka yaani, Kwa vile mambo ni mengi nilitamani aletwe Antonio Conte Simba SC.
Hahaha kocha alieifundisha getafe la lifmga yaani.kocha mkuu getafe la liga 🤣🤣🤣🤣🤣 afu akawa msaidizi wa zidane hahajja aisee ingia transfrr market ujionee ma cv ya huyu mwamba yaani unaambiwa yy ndio alikua anawapika kina modric mtakufaHakuna kocha hapo, nk msimamizi wa mazoezi
Kwa vile tunawajua kazi yenu ni kuponda vitu vya Mnyama, hata angelewa kocha wa Mabingwa wa Afrika Ahly mngeponda tu.Sikutegemea kama Simba SC wangechagua jina badala ya Experience...
Nashangaa watu wanachonga Sana watu hawaelewi jinsi gani soka la Simba msimu uliyopita caf lilivyokuna watuNi mwendo wa total fotbol falsafa za guardiola hilo soka la africa litaingia lenyewe kwenye mfumo sahivi ni pasii 1000 per match
Kwani siku unabikiriwa na makirikiri matola hakuwepo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Acha kukariri matola yupo na wazee wa ndumba wapo,soka la afrika wanacheza wachezaji 30 au mipira inakuwa miwili uwanjani
Hatuokoti makocha km.nyie. mnatuletea mara mwinyi zahera mara yule alowaita manyani mara kazeni mara heeeehhh tulia Nyani ndio kwanza kunapambazuka
Haya ndo majibu tunataka yaani kuhusu soka la Afrika.Aseee....
Eti uzoefu wa soka la kiafrika, hakuna soka la kiafrika ila kuna upumbavu wa kiafrika ambao hautakiwi kuvumiliwa.
Tofauti iliyopo ni moja tu, hapa bongo tunatumia Nguvu nyingi bila akili, mfano mwepesi mpira anaoucheza prisons.
Kuongezea maana watu kusahau jadi yao.Kipindi Mazembe anachukua CAF champions league, hii formation ya 2-2-6 ndio kwa mara ya kwanza ilitambulishwa katika hilo soka wanaloita la kiafrika.Sasa taarifa iwafikie hii formation ni zaidi ya uzoefu.Mwana utopolo naona umewahi kuleta uzi kuhusu kocha wetu anyway!! Usichokijua tu ana mfumo wake wa 2-2-6, huo mfumo alishawahi kuingiza wachezaji watatu tu uwanjani na likafa jitu,,, mtu kashawahi kukaa kwenye benchi la ufundi la timu kubwa kabisa duniani lkn nnavyojua majirani walivyokuwa na nongwa hata hili watalipinga,, ukimchek tu sura yake ka Xavi, sasa sikwambii hizo mbinu! Mtugee tu kombe letu mapema kabla ya mwezi wa kumi na mbili!
Coach kafundisha Madrid UTO wanasema hajui soka la kiafrica.Haya ndo majibu tunataka yaani kuhusu soka la Afrika.
Halafu nashindwa hata kuwaelewa hawa Jamaa, ina maana soka la Afrika lina mafanikio kuliko Soka la Ulaya.