Pablo kuondoka ni sahihi. Matola naye asibake aje Pawasa mbadala

Pablo kuondoka ni sahihi. Matola naye asibake aje Pawasa mbadala

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
KUONDOKA KWA PABLO NI SAHIHI KABISA
  1. Kocha yeye kila siku kulia
  2. Kocha amecheza mechi 4 na Yanga hajashinda hata moja hafai kuwa SIMBA
  3. Kocha hana mbinu za kuweka mpira chini, kushambulia kwa kasi, kutumia wachezaj vzr
  4. Kocha anadrooo nyingi muno hata mkumletea MESSI hawezi kudelievr
  5. MATOLA AONDOKE aje PAWASA au KOCHA WA KAGERA
  6. Fitness kocha arudishwe yule alikuwa na gomes
  7. Makipa wabaki, Beno mzuri tuspaniki
  8. Rage na Kaduguda njaa zao tu wanaposema tumeuza miquesson na chama hela hazoonekani yeye aliuza okwi sawa hela zilifanya nini si bora sasa hv hata tuna uwanja wa mazoezi
  9. Tungemuacha Pablo tungeumia msimu ujaoooo
 
KUONDOKA KWA PABLO NI SAHIHI KABISA
  1. Kocha yeye kila siku kulia
  2. Kocha amecheza mechi 4 na Yanga hajashinda hata moja hafai kuwa SIMBA..
Umeshachelewa Mkuu, Menejimenti ya Simba imesema Timu itakuwa chini ya Matola!
 
Back
Top Bottom