Package Mpya za Internet Bundles kutoka TTCL

Package Mpya za Internet Bundles kutoka TTCL

tototundu

Senior Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
198
Reaction score
40
nimesikia tetesi kwenye IT meeting leo kuwa TTCL wametoa package mpya za internet, ambazo wanachaji kwa saa, something like Tshs 1000 kwa saa unlimited downloading. kuna yoyote mwenye habari hii kamili, ni kwa broadband ya kawaida au ni pamoja na mobile broadband?
 
thats true mkuu, i was in dodoma last week, nikakutana na pipo zinainadi hiyo bidhaa ya ttcl kwenye maofisi na taasisi za elimu @60000 tsh...then nackia nw wanashusha bei coz competition ni kubwa na za washindani wao ni cheap zaidi...
 
nimesikia tetesi kwenye IT meeting leo kuwa TTCL wametoa package mpya za internet, ambazo wanachaji kwa saa, something like Tshs 1000 kwa saa unlimited downloading. kuna yoyote mwenye habari hii kamili, ni kwa broadband ya kawaida au ni pamoja na mobile broadband?

i think hii inaweza kuonekana kama ni cheaper lakini sio cheap kivile...... 1000 x 12 hours that is 12,000/= kwa siku wakati for 2 gb ambayo normal usage inafaa napata kwa 10,000 kwa wiki....
 
i think hii inaweza kuonekana kama ni cheaper lakini sio cheap kivile...... 1000 x 12 hours that is 12,000/= kwa siku wakati for 2 gb ambayo normal usage inafaa napata kwa 10,000 kwa wiki....

It also depends on download speed. If download speed is below 150Kbps, that is very very expensive, unless there is a time counter inside da modem, that it stops time when u stop using internet. Otherwise . . . .
 
Caution:

Wataalamu kuwen makin sana. Lugha za kibiashara za sasa zinaweza kukufanya uone bidhaa au huduma ni cheap, lakin ktk uhalisia gharama yake imeongezeka mara 5 zaid ya awali, na vilevile kunakuwa na hidden charges.
Mfano, nikisema nauza bundles za Tshs 20/= kwa dk unaweza kuona ni extremely cheap, Sasa piga hesabu kwa siku ni sh ngapi?!!! Halafu kumbe mwenzio nina hidden charges kibao, na hiyo ni bei bila kodi.
 
Sijaona marketing ya TTCL so nasubiri, wacha kwa sasa niendelee tu kutumia internet ya airtel, 400MB kwa Shillingi 2500
 
It also depends on download speed. If download speed is below 150Kbps, that is very very expensive, unless there is a time counter inside da modem, that it stops time when u stop using internet. Otherwise . . . .

kweli kabisa mfano voda wanayo kwa 10,000/= unlimited download kwa wiki.... ila ukiwa unadownload wanakata connection everytime.... wizi mtupu...... haya mambo mpaka kwanza upate recommendation kwa mtu ambaye ameshatumia....

No matter how TTCL puts it 1000 per hour is very expensive....... even if its unlimited
 
kweli kabisa mfano voda wanayo kwa 10,000/= unlimited download kwa wiki.... ila ukiwa unadownload wanakata connection everytime.... wizi mtupu...... haya mambo mpaka kwanza upate recommendation kwa mtu ambaye ameshatumia....

No matter how TTCL puts it 1000 per hour is very expensive....... even if its unlimited
Najaribu ku analyze, kwani bei ya cafe ni sh ngapi? sio around 2000 kwa saa?
 
Najaribu ku analyze, kwani bei ya cafe ni sh ngapi? sio around 2000 kwa saa?

depends ni from 800 mpaka 1000, ofcourse kama unacompare btn cafe na hii sababu ya speed yake basi hii ni cheap lakini kama unataka kununua package yako utumie nyumbani hii ni expensive
 
wizi mtupu tu akuna jipya wamekaa kibiashara zaidi akuna unafuu wowote
 
Back
Top Bottom