Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Somo la marketing and customer services lianze kufundishwa kuanzia elimu ya secondary!
Picha iko wapi?
Namba ya simu je?
Ikoje hiyo mashine?
Ikoje hiyo mashine?
Wewe bro biashara huwezi.Nishaweka picha saiv, karibu kwa mazungumzo asante.
Una market nini?Somo la marketing and customer services lianze kufundishwa kuanzia elimu ya secondary!
Picha iko wapi?
Namba ya simu je?
Mkuu maswali yako huwa sielewiUna market nini?
Situmii nyama dear. Natumia tu matunda na vegsMkuu maswali yako huwa sielewi
Uwe unaongezea nyama
Muhimu umenielewa😎Situmii nyama dear. Natumia tu matunda na vegs
Upo gudi lakini?Muhimu umenielewa😎
Tujikite kwenye mada hapa sio chit chatUpo gudi lakini?
unaitaka nikununulie?Tujikite kwenye mada hapa sio chit chat
Hiyo packaging machine umeionaje?
Hapana, Asanteunaitaka nikununulie?
Me nikajua anayo physically kumbe ka-download alibaba😂Wewe bro biashara huwezi.