PADI WUBONN mkenya huyu akiigiliziia wimbo wako anakupotezaaa kabisaaa

PADI WUBONN mkenya huyu akiigiliziia wimbo wako anakupotezaaa kabisaaa

Huyu mkenya comedian akiigilizia wimbo wako utanuna anakupoteza.drake Mwenyewe alinuna ule wimbo wake wa gods plan mpaka akamnunia huyu mkenya.ila kiukweli Jamaa in balaa
Daah jamaa katisha sana aisee
 
Huyu mkenya comedian akiigilizia wimbo wako utanuna anakupoteza.drake Mwenyewe alinuna ule wimbo wake wa gods plan mpaka akamnunia huyu mkenya.ila kiukweli Jamaa in balaa
😀 😀 Balaa kwa tungo zake,sio kugandamizia za wengine...
 
Wakenya bwana
Ungeomba tu tucheki kazi zako sio eti Drake sijui
 
Ni comedian pekee ninayemkubali na nime'subscribe his channel Youtube.

The guy is natural, pitia videos zake Youtube uone balaa lake.
My favourite parody ni Leta Spana, parody ya Yes Bana ya Khaligraph Jones a.k.a Omolo
 
Back
Top Bottom