Padri baptiste mapunda hivi ulishaacha ulevi, kiburi, jeuri na ujuaji?

Padri baptiste mapunda hivi ulishaacha ulevi, kiburi, jeuri na ujuaji?

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
Katika utumishi wako, inaonekana kila sehemu unapoenda hukubaliki, kutokana na kujfanya kwamba unajua kila kitu hata wakubwa zako wewe huwasikilizi, unadharau hata waliokusomesha.

Wewe kutoka pale kijijini kwenu Songea, usingeweza kupata nauli hata ya kupanda basi lakini Wamisionari walikupandisha ndege kwenda Uingereza ulipokwenda kusomea mambo ya THEOLOGY, kwenda Zambia kikazi ambako huko ulifukuzwa, pamoja na nchi nyingi za Kiafrika.

Jitafakari na uwaheshimu wakubwa zako, uache ujeuri, acha ujuaji na utaishi vizuri kwenye Community yako maana umekuwa ni mtu wa kuharibu haribu kila kona, ulevi mbao uliukumbatia kwa muda mrefu walau nlisikia kuwa umeacha lakn cna hakika maana sasahivi ulevi wako ni siasa, yani umeacha ulevi wa Tusker, Safari, Ndovu, Kiroba n.k ukaona vema uingie kwenye siasa, hilo nakupongeza ila tuweke sawa sisi waumini wako maana tunachokiona ni kuchanganya mabwana wawili jambo ambalo sio zuri kwa hadhi ulonayo.

HUO NI USHAURI WA BURE KABISAAAAA PADRI WANGU BAPTISTE MAPUNDA KOKOTE KULE ULIPO, KAMA NI TANZANIA AMA HUKO GHANA, UPATE HUU UJUMBE WANGU. YA MUNGU MWACHIE MUNGU NA YA KAISARI MWACHIE KAISARI!
 
kuna siku kanisa la manzese alikuwa anaiponda serikali wakati wa ibada mpaka nikaogopa, lakini anaongeaga mambo ya msingi sana yule wakunyumba
 
Hata kama aliacha madhara yake ndio yanaonekana sasa eti anajifanya muchknow ilihali biblia ilimshinda
 
Katika utumishi wako, inaonekana kila sehemu unapoenda hukubaliki, kutokana na kujfanya kwamba unajua kila kitu hata wakubwa zako wewe huwasikilizi, unadharau hata waliokusomesha.

Wewe kutoka pale kijijini kwenu Songea, usingeweza kupata nauli hata ya kupanda basi lakini Wamisionari walikupandisha ndege kwenda Uingereza ulipokwenda kusomea mambo ya THEOLOGY, kwenda Zambia kikazi ambako huko ulifukuzwa, pamoja na nchi nyingi za Kiafrika.

Jitafakari na uwaheshimu wakubwa zako, uache ujeuri, acha ujuaji na utaishi vizuri kwenye Community yako maana umekuwa ni mtu wa kuharibu haribu kila kona, ulevi mbao uliukumbatia kwa muda mrefu walau nlisikia kuwa umeacha lakn cna hakika maana sasahivi ulevi wako ni siasa, yani umeacha ulevi wa Tusker, Safari, Ndovu, Kiroba n.k ukaona vema uingie kwenye siasa, hilo nakupongeza ila tuweke sawa sisi waumini wako maana tunachokiona ni kuchanganya mabwana wawili jambo ambalo sio zuri kwa hadhi ulonayo.

HUO NI USHAURI WA BURE KABISAAAAA PADRI WANGU BAPTISTE MAPUNDA KOKOTE KULE ULIPO, KAMA NI TANZANIA AMA HUKO GHANA, UPATE HUU UJUMBE WANGU. YA MUNGU MWACHIE MUNGU NA YA KAISARI MWACHIE KAISARI!

Character assassination at work! Watu wasio na hoja hukimbilia kumshambulia mtu kama unavyofanya maana huna cha kuandika na huwezi kuandika kitu kwenye gazeti ukakubaliwa maana badala ya kuandika kitu cha maana utakalia kuwatukana wengine. Nadhani hata kwenye mtihani wako ulifanya haya haya au siyo?
 
Character assassination at work! Watu wasio na hoja hukimbilia kumshambulia mtu kama unavyofanya maana huna cha kuandika na huwezi kuandika kitu kwenye gazeti ukakubaliwa maana badala ya kuandika kitu cha maana utakalia kuwatukana wengine. Nadhani hata kwenye mtihani wako ulifanya haya haya au siyo?
Na wewe pia ni character assasination at work na umekosa hoja pia na ndo maana unakimbilia kupinga pinga hoja kijinga, nahc uko abnormal ama ubongo wako unautapiamlo.
 
Na wewe pia ni character assasination at work na umekosa hoja pia na ndo maana unakimbilia kupinga pinga hoja kijinga, nahc uko abnormal ama ubongo wako unautapiamlo.

Acha jazba. Kwa nini uanze kujadili ulevi wa mtu humu. Una maslahi gani kwako. Tuseme alishaacha au anaendelea unataka ufanye nini? Suppose na wewe mtu angeleta mambo yako yajadiliwe humu yanakuwa na tija gani? Tujifunze kuelemika na kuandika mambo yenye maana.
 
Back
Top Bottom